Weka mawazo yako hapa

Weka mawazo yako hapa

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,556
Reaction score
4,162
Siku moja majambazi yamevamia nyumbani kwako,

Baada ya kuchukuwa kila walichukuwa wanakihitaji wakakupatia bunduki ili umuue mkeo.

Kwaharaka ukapiga magoti kwa unyenyekevu ukiwasihi wakuwie radhi kwani huwezi kumuua mkeo sababu unampenda.
Kwahasira wakakunyang'anya bunduki na kumpatia mkeo,chapchap mkeo akakamata mtutu na kuifyatua risasi kwa bahati mbaya hakukua na risasi hata moja.

Wakacheka sana na kisha kutokomea gizani.
Swali:

1.Ikiwa wewe ndio mwanamume huyo utafanyaje?

2.Ikiwa wewe ndio mwanamke huyo utafanyaje?
 
Labda uwe huna intellijensia hata ya darasa la kwanza. Hakuna jambazi duniani anayeweza kukupa bunduki yenye risasi hata moja ili umuue wa karibu yako halafu akabaki hapo. Mawazo ya ufahamu katika mlango wa sita yananielekeza nifikiri huyo jambazi ni kilaza. Ukipewa hivyo cha kwanza ni kufikiria kuigeuza ili uwapige wao. Hivyo kama walikuwa wanataka trust yako watakupa kukujaribu lakini mara zote haiwezi kuwa na risasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom