Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Joined Jan 10, 2009 Posts 5,471 Reaction score 754 Dec 16, 2011 #1 Kelly Khumalo, mwanamuziki wa South Africa anatumbuiza pale Zoungough Garden kesho sijui ataturusha kama hivi...
Kelly Khumalo, mwanamuziki wa South Africa anatumbuiza pale Zoungough Garden kesho sijui ataturusha kama hivi...
sulphadoxine JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 2,257 Reaction score 649 Dec 16, 2011 #2 Kweli wikendi imeanza.
FM stereo JF-Expert Member Joined Oct 8, 2011 Posts 206 Reaction score 123 Dec 16, 2011 #3 asterkfululai kama hii ndo wikindi. siitaki.mbona wako uchi?
AK-47 JF-Expert Member Joined Nov 12, 2009 Posts 1,373 Reaction score 202 Dec 16, 2011 #4 Hiyo show si ya kwenda na mke...ili kui-enjoy zaidi
Mchaka Mchaka JF-Expert Member Joined Jul 20, 2010 Posts 4,517 Reaction score 1,428 Dec 16, 2011 #5 Lengo la show kama hizi ni nini? ziko mrengo sawa na zile za kanga moko!!
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,863 Dec 16, 2011 #6 Wamelaaniwa hakiya mungu.
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Dec 16, 2011 #7 LOH LOH LOH !!! Anachafua hali ya hewa ilhali watu wamelipa kiingilio!!!
TWIZAMALLYA JF-Expert Member Joined Oct 1, 2011 Posts 397 Reaction score 81 Dec 16, 2011 #8 El Toro said: Kelly Khumalo, mwanamuziki wa South Africa anatumbuiza pale Zoungough Garden kesho sijui ataturusha kama hivi... Click to expand... I love them girls
El Toro said: Kelly Khumalo, mwanamuziki wa South Africa anatumbuiza pale Zoungough Garden kesho sijui ataturusha kama hivi... Click to expand... I love them girls
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Dec 16, 2011 #9 AK-47 said: Hiyo show si ya kwenda na mke...ili kui-enjoy zaidi Click to expand... ha ha ha haaah!!! Utainjoi nini hapo zaidi ya kuumia tu?
AK-47 said: Hiyo show si ya kwenda na mke...ili kui-enjoy zaidi Click to expand... ha ha ha haaah!!! Utainjoi nini hapo zaidi ya kuumia tu?
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Joined Jan 10, 2009 Posts 5,471 Reaction score 754 Dec 17, 2011 Thread starter #10 Jumamosi ndio hii tukutane pale Z garden
Capitano JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 1,959 Reaction score 1,635 Dec 17, 2011 #11 Nimekubali,wakiwezeshwa wanaweza. AAfu huo weusi wa naniliu kwenye hiyo picha ya mwisho mbona kama umezidi au wanja umetumika?
Nimekubali,wakiwezeshwa wanaweza. AAfu huo weusi wa naniliu kwenye hiyo picha ya mwisho mbona kama umezidi au wanja umetumika?
A ATUTA Member Joined Oct 31, 2011 Posts 29 Reaction score 5 Dec 17, 2011 #12 Hakyi yanani hii ni sodoma. kama wkend yenyewe ndo hii bora nikae nyumbani niangalie tv
Mmasihiya JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 389 Reaction score 172 Dec 17, 2011 #13 Kuda'dada'dada'dadeki!! Kweli wanawake na maendeleo wafanye kazi wasonge mbele..
Mtoboasiri JF-Expert Member Joined Aug 6, 2009 Posts 5,100 Reaction score 1,955 Dec 17, 2011 #14 ATUTA said: Hakyi yanani hii ni sodoma. kama wkend yenyewe ndo hii bora nikae nyumbani niangalie tv Click to expand... Ndio utajionea mambo kama haya vizuri zaidi ukiwa na amani na utulivu!
ATUTA said: Hakyi yanani hii ni sodoma. kama wkend yenyewe ndo hii bora nikae nyumbani niangalie tv Click to expand... Ndio utajionea mambo kama haya vizuri zaidi ukiwa na amani na utulivu!
Gold Addict Senior Member Joined Sep 5, 2011 Posts 150 Reaction score 42 Dec 17, 2011 #15 mkuu tiketi zinapatikana wapi
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 54,049 Reaction score 43,169 Dec 17, 2011 #16 kuna umuhimu kwenda ku:eyebrows:takasa macho
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 54,049 Reaction score 43,169 Dec 17, 2011 #17 Katavi said: ha ha ha haaah!!! Utainjoi nini hapo zaidi ya kuumia tu? Click to expand... Mmmmm😛hoto:
libent JF-Expert Member Joined Oct 29, 2011 Posts 382 Reaction score 84 Dec 17, 2011 #18 Capitano said: Nimekubali,wakiwezeshwa wanaweza. AAfu huo weusi wa naniliu kwenye hiyo picha ya mwisho mbona kama umezidi au wanja umetumika? Click to expand... Hapo ujanja umetumika nenda kwenye blog ya mzee wa supu utamuona vizuri. Nashut down
Capitano said: Nimekubali,wakiwezeshwa wanaweza. AAfu huo weusi wa naniliu kwenye hiyo picha ya mwisho mbona kama umezidi au wanja umetumika? Click to expand... Hapo ujanja umetumika nenda kwenye blog ya mzee wa supu utamuona vizuri. Nashut down
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Dec 17, 2011 #20 hii snap ya chini ndio nimeipenda mbaya..