Kitikiti
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 353
- 250
Saa hizi moja na nusu jioni ya leo tarehe 15 May 2017 najaribu kufungua www.utumishi.go.tz haifunguki. Nauliza je inapatikana vipi?.
kuwa mpole ipo undermaintenance
Mbona umekasirika?. Naamini utapona na kuipongeza Wizara yetu ya UTUMISHI.Waizime tu taarifa tunazipata kwenye blog website ya taifa haina chochote zaidi ya mapicha picha yalitoeditiwa vibaya
Mi sijaajiriwa, na siongelei kuhusu ajira naongelea habari za hawa wenye vyeti feki wizara haitoi habari za kutosha na inasababisha vihabari vingi vya uongo kuzagaa unakuta taarifa kibao mtaani na kwenye website yao ni hazipoMbona umekasirika?. Naamini utapona na kuipongeza Wizara yetu ya UTUMISHI.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us