Website ya mahacker LULZSECURITY.COM ipo DOWN

Chifunanga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
290
Reaction score
102
Website ya mahacker wapya ambao walihack website za FBI, CIA na US Senate, sasa hivi ipo down, na hivi karibuni wamehack website ya law enforcement ya Arizona.

Wamarekani wanakaribia kupitisha sheria kuwa kuhack website zao ni ACT OF WAR...maana yake wanaweza kuwaIRAQ nchi yoyote itakayowahifadhi mahacker wanaohack website na networks za marekani.

Ukiitembelea kwa sasa utaona message hii:

This page (http://lulzsecurity.com/) is currently offline. However, because the site uses CloudFlare's Always Online™ technology you can continue to surf a snapshot of the site. We will keep checking in the background and, as soon as the site comes back, you will automatically be served the live version. Alternatively, you can retry the live version.
Always Online™ powered by CloudFlare | Hide this Alert
 
Mkuu are you sure!!!!!!fungua tena uone labda walikuwa wana update mambo yao tu


wapo hewani bwana!!!!
 


mbona ilikuwa hivyo tangu zamani! ujue kwamba wakali! site haitoki, itakuwa ipo hata iweje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…