Webhost Host Gani anahuduma nzuri


extreme wana nini cha ajabu? Hamna kitu hapo. Uwa nanunua domain kwao . Siku moja nawapigia simu wanibadilie nameserver wanatoa macho tu wananiambia eti domain haijawa registered na wao. Nikasema hawa vilaza kweli.
 

mie bana nikwambie kitu mkuu, hamna host mzuri throughout a year. Wengi wazuri wakiwa wanaanza ila mbele huko inakuwa majanga.

pia inategemea your needs. Ingia webhostingtalk.com utapata review za host wengi. Tena kuanzia domain, reseller, dedicated, kila aina. Utashindwa ww tu.

Ila mie uwa nawapa kipaumbele wanaotumia cpanel/whm kisha criteria zingine zinafata.
 

Nimewahi ku host web application nchini China, Hongkong , USA na EU.

Wadau wa USA wako vizuri zaidi.

Nakushauri utumie service ya hawa wadau
Hosting | Web Hosting by Arvixe

Wako vizuri sana
 

Mimi naungana na chief-mkwawa Jaribu ASP.NET Hosting with Advance Control Panel jamaa wana 2 month full functionality trial mimi nilishatest nikaridhika nao, tumia hiyo trial then utajua kama unaweza kuendelea nao au hawatakufaa.
 
extreme wana nini cha ajabu? Hamna kitu hapo. Uwa nanunua domain kwao . Siku moja nawapigia simu wanibadilie nameserver wanatoa macho tu wananiambia eti domain haijawa registered na wao. Nikasema hawa vilaza kweli.

not true.. sifanyi promo ila unachokisema maybe................
 
Last edited by a moderator:
not true.. sifanyi promo ila unachokisema maybe................
sio maybe bro, ndioo nnaponunua domain za dot tz so nawafahamu hawa jamaa, mie kama watu wanafanya poa nawapa heko zao kama hamna kitu nasema tu. ni wakawaida sana.
 
mkuu ni PM mi naweza kukuhostia for just 50,000 tsh per year

0787999851
 
Nilikuwa nikinunua kwao domain mara ya kwanza, yaani kuna wakati walitumia wiki nzima kununulia domain moja yaani ni shida tupu sijuwi kama wamejirekebisha siku hizi maana wiki 2 zilizopita nimenunua kwao tena na waliiweka hewani siku hiyo hiyo. Kuna urasimu kidogo pale.

sio maybe bro, ndioo nnaponunua domain za dot tz so nawafahamu hawa jamaa, mie kama watu wanafanya poa nawapa heko zao kama hamna kitu nasema tu. ni wakawaida sana.
 

hamna kitu pale, wana activate domain manually
 
Kuna hawa wazohost Pia ni wazuri sana, unanunua domain au hosting na kulipia kwa simu.. Dakika hiyo hiyo unapata service moja kwa moja automatically.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…