We want graduate MPs, say members of public

There we go again with paper qualification.

Kwa msingi huu hata Bill Gates type of a genius asingeweza kuwa mbunge bongo.

Elimu si kuwa graduate. Our cabinet has had several Ph.Ds. Wanacheza.

Harry Truman is regarded as one of the great US presidents. The man never graduated college.

Waingereza wenye stiff upper lips na tuliowaiga habari za bunge sio tu wanaruhusu non graduates kuwa wabunge, wamempa John Major u PM. The man never graduated college.

Demokrasia inataka uchaguzi wa watu.

Ukianza kuweka masharti zaidi kugombea ubunge unaondoa uchaguzi kutoka kwa watu unaupeleka kwa maprofesa. Leo utasema wawe graduates, utaona tuna ma Ph.D kama kina Nchimbi. Utataka kesho graduates wspimwe IQ. Utaona hats hao wenye IQ kubwa wanapwaya. Utataka upime mpaka DNA ya uongozi.

Utakuta hamna kitu kama hicho.

Leadership is more of an art than a science. Track record and productivity should be the benchmarks. And the people should be the judges. If you want an educated parliament open the barriers to education.

This proposed requirement is unconstitutional because it unduly infringes on Tanzanians basic democratic rights.

Vipi kesho tukipata genius limefukuzwa chuo kwa sababu halijaelewana na ma profesa wapuuzi? Tutalikatalia ubunge kwa sababu halina cheti cha kuhitimu chuo?

Hapa mzee yaani umeniua, hoja safi, nzito, ya karne na imetulia.
Ila hapo kwenye ruzuku ya vyama vya siasa, naona kama jamaa lina hoja hivi au?
 
Sasa uzoefu wa DaSilva mtaani na kwenye ma labor movements huko unaweza kuwa zaidi ya Ph.D.

Badala ya kukataa wasiosoma (formally), labda tuwaulize kwa nini hawakusoma na wanaweza ku compensate vipi kwa kukosa kusoma kwao?

Jitu kama Lula DaSilva likiniambia sikusoma kwa sababu nilitoka familia maskini, ilibidi nianze kufanya kazi mapema na kuchangia familia, halafu nikapanda katika ngazi za labor unions huko, nikapata realpolitik experience, mimi ninaye value real world experience naweza kuliona la muhimu, lina natural leadership skills, halijakwepa responsibilities from an early age na lime overcome adversity kuliko graduate asiye na real world experience.

Jitu kama Bill Gates likiniambia mimi nilishaona vision yangu ya kuwa na software behemoth, halafu college ingenipotezea muda tu, nikiangalia track record yake nitawezaje kulipinga?

Sitetei mtu ambaye hajasoma na hana kingine chochote cha kutuonyesha as a compensating factor. Lakini sitaki kuwa close minded na ku apply a narrow sense of "education". Education is much broader than formal education.

Kiranga,
Yaani hapa uko sawa kabisa. Einstein mwenyewe hakuwa mzuri sana darasani, vikubwa alivyofanya havikutokana sana na elimu ya kufundishwa darasani. Proposal ya huyu jamaa ni kasa itatusababisha tu-eliminate watu magenious walioko ndani ya jamii ambao kwenye makaratasi hatuwajui!
 
Back
Top Bottom