ni kwa sababu wanaume wao wamewazesha kwa kuwajengea nchi na jamii imara, wanaume ndiyo wanapaswa kujenga nchi na jamii imara hivyo ukiona jamii ambayo wanawake wao wamegeuka omba omba basi tatizo ni wanaume wa hiyo nchi na siyo wanawake kwani wanaume wanapswa kujenga jamii imara inayolinda na kutetea watoto na wanawake wao, hivyo kulaumu wanawake wa tanzagiza na kusifia wanawake wa USA wakati wewe ni mwanaume wa tanzagiza ni kukimbia majukumu yako kama mwanaume.
wanawake wa tanzagiza wamegeuka omba omba kwa sababu wanaume wameshindwa kujenga nchi, hivyo kosa ni la wanaume wa tanzagiza ...