sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Tusikubali kufungwa vinywa, tuelezwe kama Rais Samia anasafiri ndio maana tumeweza kupata mikopo je Magufuli alisafiri usiku kwenda kukopa na kurudi usiku pasipo wasaidizi wake kujua?
Kama sio kweli wazungu na wachina wakimkopeshaje mtu asiye kwenda kwao? Je mikataba ilisainiwaje? Usiku wa manane Ikulu?
Tusikubali kukaa kimya uwazi wa sasahiv hatukua nao kipindi hicho je ulifichawaje?
Karbu mwaka 2022.
Kama sio kweli wazungu na wachina wakimkopeshaje mtu asiye kwenda kwao? Je mikataba ilisainiwaje? Usiku wa manane Ikulu?
Tusikubali kukaa kimya uwazi wa sasahiv hatukua nao kipindi hicho je ulifichawaje?
Karbu mwaka 2022.