WAZUNGU SIO WATU WAZURI

Hicho kichwa cha habari mbona haieleweki?? Wanzungu kutokuwa watu wazuri inahusikaje hapo? Mbona wabongo kila siku tunakuwa na vichekesho tu? Tutasonga lini mbele?
 
Naona mapichapicha tu!
Kwa Muhtasari,

Mjapani azua taharuki baada ya Kumchum Samaki mkubwa Sana Anayeitwa YERIKO

Amekua nae kwa takriban miaka 25,

Alimkuta Akiwa mdogo Hoi bin Taaban
Akamlea vema mpaka akawa na afya njema kama unavyomuona Hivi sasa AMENONA.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…