Wazoefu wa Dar naomba location ya kata ya Ndugumbi

Wazoefu wa Dar naomba location ya kata ya Ndugumbi

Newboy

Senior Member
Joined
Jun 12, 2014
Posts
113
Reaction score
42
Natokea Ubungo naenda ofisi ya Kata Ndugumbi, naomba direction wana JF.
 
Natokea Ubungo naenda ofisi ya Kata Ndugumbi, naomba direction wana JF.

Maeneo ya ofisi ya mkuu wa wilaya kinondoni pale magomeni karibu na hospitali,magomeni kota,shule ya turiani kipande hicho ndio Ndugumbi,uliza utaelekezwa ofisi ya kata
 
Nenda magomen Mwembechai. Ulizia kanisa la wasabato. Ukuta wa kanisa unatazamana na ofisi za Kata.
 
Maeneo ya ofisi ya mkuu wa wilaya kinondoni pale magomeni karibu na hospitali,magomeni kota,shule ya turiani kipande hicho ndio Ndugumbi,uliza utaelekezwa ofisi ya kata

ahsante
 
Back
Top Bottom