Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,460
Ugumu wa chuma haumfanyi muhunzi kususa kazi yake.
Hata urefu wa mnaz haumchoshi mkwezi
Hata Ukubwa wa Pango haumzuii mwindaji kuwinda.
Pango si ndo nanii ile ya mpango mzima?
Afu muindaji si ndiyo Binduki eti?
Hapohapo mwanawane.
Duuh ! Semegi hiyo "hapohapo mwanawane!" nayo imekaa kitafsidatafsida! Ni kama vl wamwambia ntu akazie hukumu , kwa maana ya kukandamizia hanohano!
Ukubwa wa kalio haumuelemei mwenye nalo.
Hata ukubwa wa kitambi haumuelemei mwenye nacho.
Hata Ukubwa wa "mzigo" si wingi wa "liquid"