Wazo la Leo

Wazo la Leo

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,589
Hay wanajamvi

Mwenzenu nusura nianguke chini kwa kicheko nilichopata jana kwani sikutegemea
kitu kama kile nirushiwe hewani namna ile, na huyu mtu yeye ajui kuwa watu tuko
kwenye madaladala kwanini lakini ananipa kicheko na headache namna hiii.

Ngoja niwajuze nanyi mpate kucheka na msiendelee kula leo kwani mtaona mmeshiba

Ilikuwa hivi: Message send:

Wazo kuu: Hata Njiwa ANA MAKINDA YAKE, lakini katu hawezi kuwa Spika wa Bunge
hama kweli kwaaaaaaaaa kwaaaaaaa tehe tehe teheeeeeee zilijaa sana

Vipi mbavu zenu hazijaumia au mjatoka nje kuhema kwa juujuu mithili ya
ya nyoka anatoka shimoni
 
Wewe spika wa bunge gani unaemzungumzia?
Kama ni Tz sorry haitwi ANA MAKINDA yule ni ANNE SEMAMBA MAKINDA
 
kwa kweli hata mm nilipoipata ilinitafakurisha sana
 
hata panga liwe kali kiasi gani likin haliwez kikata kiu,,upo cheka na hiyo...
 
Back
Top Bottom