Mecris1992
Member
- Jun 12, 2015
- 7
- 1
Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana niliyehitimu chuo fani ya ugavi na manunuzi, kutokana na ugumu Wa ajira niliamua kubuni wazo la Biashara ili nisipoteze muda. Nilifikiria kuanzisha Biashara ya kununu manga plain T shirts na kuziprint then nizi advertise katika mitandao ya kijamii e.g Facebook, intagram, Twitter na mingineyo. na kwa yeyote atakayehitaji akiwa ndani ya Mwanza nampelekea mpaka alipo. lakini tatizo linakua moja, sina uzoefu na hii Biashara wala sijajua cost za kununua na kuprint hizo T shirts. pia mtaji unahitajia angalau sh ngapi maana mtaji Wa kuanzia inashauriwa usiwe mkubwa sana.
Kwa yeyote anayefahamu hii Biashara tafadhari naomba anijuze. Ahsante.
Mkatakiu Hat mm nimependa hii bznez VP soko lake likoje
Hapo right team unakusudia niwe na saplaya wa wnokila biashara inalipa.. inategemea wewe unaifanyeje?
changamoto zipo.. but ukiwa na wateja wa uhakika... hela inapatikana.
changamoto kubwa ni wino kuupata.. inabidi uagize nje.. na tra hawatabiriki.
muhimu ni kuwa na right team.. maana hii uwezi fanya kila kitu mwenyewe.. utaharibu kazi za watu
Hapo right team unakusudia niwe na saplaya wa wno
right team ni combination ya watu wengi wanaojituma.. graphic designer, supplier wa wino, fundi mzuri incase printer ikisumbua.. mtaalamu wa kufanya multi color registration, umeme wa uhakika wa kufanyia transfers.
vijana wa kusaidia kuprint t shirt nyingi kwa ujuzi, spidi na wenye accuracy kupunguza rejects ( maana ni hasara kwako)
kwa haraka haraka milion 10 inafaa sana kwa kuanzia kama unataka kufanya serious business.
nipo kwenye hii industry.
vitu vya muhimu vya kuwa navyo
heat press 1 kwa wastani 1.2m
inkjet printer 1 kwa wastan 1m
corousel 1 kwa wastani 4m
dtg printer 1 ndogo wastani 5m.
embroidery machine moja ndogo ( brother) wastani 1.5m
laptop au computer 1 nzuri. na uweke graphic design software like adobe illustrator.
hizo ni capital expenditure..
na upande wa pili ni operational expenditure.. eg hela za kununua plain t shirts, chemicals, wino, na ufundi wa vifaa incase vikienda wrong...
karibu sana kwenye hii industry.
mkuu upo dar au?
yap nipo Dar..