Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,809
- 156,944
watu wanataka wawe mafukara woteDuh! Acha roho mbaya mkuu,kwani nini kufurahia mwenzio kutumbuliwa?
Acheni hizi roho za kimaskini watanzania wenzangu
watu wanataka wawe mafukara woteDuh! Acha roho mbaya mkuu,kwani nini kufurahia mwenzio kutumbuliwa?
Acheni hizi roho za kimaskini watanzania wenzangu
waziri kiroba/mzigoMwijage Mwenyewe anavutiwa muda tu
Acha tu niwe na roho mbaya ila ukweli ni kwamba Jamaa alikuwa hana uwezo. Alizoea kuendesha shirika kiunjanja ujanja huku akitegemea zaidi msaada wa walio chini yake.
Kuna walio chini yake wana uwezo mkubwa sana sana. Na ndio walikuwa wanaendesha shirika
Mkuu siku hizi wakulima wamekuwa na roho mbaya sana, yaani ukipata shida wanafurahi ile mbaya! Sasa lililobaki kama na wewe unatoa huduma kwa wakulima wagonge bei mpaka wakome!Duh! Acha roho mbaya mkuu,kwani nini kufurahia mwenzio kutumbuliwa?
Acheni hizi roho za kimaskini watanzania wenzangu
Ndugu sidhani kama ni sahihi kuongea usiyoyajua.Unajua amekuwa mtumishi wa Brela kwa miaka mingapi kabla ajawa CEO? Pia unazotaarifa kuwa alikuwa anakuwa within Organization? Je unajua kabla hajawa CEO alikuwa position gani? Eti hatui kazi anasaidiwa na wachini yake.Acha tu niwe na roho mbaya ila ukweli ni kwamba Jamaa alikuwa hana uwezo. Alizoea kuendesha shirika kiunjanja ujanja huku akitegemea zaidi msaada wa walio chini yake.
Kuna walio chini yake wana uwezo mkubwa sana sana. Na ndio walikuwa wanaendesha shirika
Ndugu sidhani kama ni sahihi kuongea usiyoyajua.Unajua amekuwa mtumishi wa Brela kwa miaka mingapi kabla ajawa CEO? Pia unazotaarifa kuwa alikuwa anakuwa within Organization? Je unajua kabla hajawa CEO alikuwa position gani? Eti hatui kazi anasaidiwa na wachini yake.Acha tu niwe na roho mbaya ila ukweli ni kwamba Jamaa alikuwa hana uwezo. Alizoea kuendesha shirika kiunjanja ujanja huku akitegemea zaidi msaada wa walio chini yake.
Kuna walio chini yake wana uwezo mkubwa sana sana. Na ndio walikuwa wanaendesha shirika
Frank hakuwa na uwezo wa kuwa CEO bana. Tuongee ukweli. Alipata nafasi hiyo kwa lobbying tu. Huyu Kaimu wa sasa Kakwezi ana uwezo mkubwa sana sana sana kuliko Frank... Hata presentation zake zilikuwa zinaandaliwa na Kaseli, Shani na wengine.Ndugu sidhani kama ni sahihi kuongea usiyoyajua.Unajua amekuwa mtumishi wa Brela kwa miaka mingapi kabla ajawa CEO? Pia unazotaarifa kuwa alikuwa anakuwa within Organization? Je unajua kabla hajawa CEO alikuwa position gani? Eti hatui kazi anasaidiwa na wachini yake.
Frank hakuwa na uwezo wa kuwa CEO bana. Tuongee ukweli. Alipata nafasi hiyo kwa lobbying tu. Huyu Kaimu wa sasa Kakwezi ana uwezo mkubwa sana sana sana kuliko Frank... Hata presentation zake zilikuwa zinaandaliwa na Kaseli, Shani na wengine.
Kingereza chenyewe hajui. Sasa angewezaje kufanya presentation ya proposal huko ulaya..?[/QUOTE
]KWELI
Yumo mama naona anajilipua...!!!
Maoni yangu:
Hongera sana Waziri Mwijage. Hili jambo la kumtumbua huyu mtu lilichelewa sana. Ila kuna msema kwamba, kheri jambo lifanyike hata muda ukichelewa kuliko kutofanyika kabisa.
Huyo DG alikuwa hana uwezo. Aliingia hapo kiunjanja ujanja enzi za JK, through lobbying.
Hongera sana Waziri.