Nsabhi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 1,093
- 162
Ndugu wanaJF nimekuwa nikifuatulia kwa karibu sana jinsi waziri wa Nishati prof. Muhongo anapolidangaya taifa letu kuwa hakuna mgao wa umeme. Je anafanya hivyo kwa maslahi ya nani wakati nchi ipo gizani?
Leo nimefuatilia na kugundua kuwa zaidi ya mikoa kumi haina umeme. Hivi huyu ni prof kweli au ni Prof kama vile wale wanaojiita hivyo? Namuomba aache mara moja kulidanganya taifa maana ulimwengu wa sasa si kama wa miaka ya arobaini na saba aliyozaliwa yeye!
Kama ataendelea na uongo wake wanaJF tuitishe maandamano ya kudai umeme na pia kumtaka waziri Muhongo achie ofisi ya umma maana bado hatujafikia kuongozwa na waziri muongo.
Leo nimefuatilia na kugundua kuwa zaidi ya mikoa kumi haina umeme. Hivi huyu ni prof kweli au ni Prof kama vile wale wanaojiita hivyo? Namuomba aache mara moja kulidanganya taifa maana ulimwengu wa sasa si kama wa miaka ya arobaini na saba aliyozaliwa yeye!
Kama ataendelea na uongo wake wanaJF tuitishe maandamano ya kudai umeme na pia kumtaka waziri Muhongo achie ofisi ya umma maana bado hatujafikia kuongozwa na waziri muongo.