Waziri wa nchi, ofisi ya Rais-Tamisemi anavunja sheria za nchi mchana kweupe

Hiyo ya kuboresha mazingira ni long time plan,
Short term plan iwe kuomba moja kwa moja shulen, then ambao wanaomba mjini wakose kazi.
Itasaidia shule hizo kuwa na waalimu husika for 2-3 yrs wakati mazingizra yakibadilishwa.
 
Kwa hiyo

mwalimu wa mjini yeye aishi mjini miaka yake yote ?
Hili linashangaza sana mkuu, na hao wanaopangiwa vijijini ni wale wa watoto masikini.
Vigezo vya kupangiwa mjini ni:
Kuwa mtoto au ndugu wa fulani
Kuwa mke au hawara wa fulani
Kwa wanawake kulala na DED/Mwenyekiti wa halmashauri/DT

Inakuwaje sheria kwa wa vijijini kutohamia mjini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…