johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Waziri wa madini Dotto Biteko amesema hakuna mtu aliyeahidi gari za Noah kwa kila mtanzania kufuatia makubaliano yetu na Barrick
Mh Dotto amewataka wanasiasa kuacha kufanya siasa kwenye rasilimali za nchi bali yatupasa wananchi wote tuwe kitu kimoja.
Dotto amesema muda si mrefu wapingaji wote wataunga mkono harakati hizi za serikali kwa sababu namba hazidanganyi.
Kadhalika Barrick na Acacia wameshakubaliana namna ya kutulipa kile kishika uchumba walichotuahidi hadharani na Mwenyekiti wa kamati Prof Kabuni atalieleza taifa hivi karibuni.
Meneja wa Clouds 360 mtangazaji Ciza aliongoza mahojiano hayo na kwa kweli huyu bwana mdogo ameboresha sana kipindi tofauti na wale wapiga soga za vijiweni Ngoma na Sasali.
Source Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
Mh Dotto amewataka wanasiasa kuacha kufanya siasa kwenye rasilimali za nchi bali yatupasa wananchi wote tuwe kitu kimoja.
Dotto amesema muda si mrefu wapingaji wote wataunga mkono harakati hizi za serikali kwa sababu namba hazidanganyi.
Kadhalika Barrick na Acacia wameshakubaliana namna ya kutulipa kile kishika uchumba walichotuahidi hadharani na Mwenyekiti wa kamati Prof Kabuni atalieleza taifa hivi karibuni.
Meneja wa Clouds 360 mtangazaji Ciza aliongoza mahojiano hayo na kwa kweli huyu bwana mdogo ameboresha sana kipindi tofauti na wale wapiga soga za vijiweni Ngoma na Sasali.
Source Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!