Waziri wa Fedha Siku ya kusoma Bajeti Kuu ya Serikali humwakilisha Rais hivyo Dkt. Mwigulu kusindikizwa na Ving'ora ni kawaida sana!

Ni ufafanuzi tu kidogo

Siku ya Bajeti ni maalumu na katika baadhi ya nchi watu hawaendi kazini

Waziri wa Fedha husoma Bajeti kuu ya serikali kwa niaba ya mkuu wa nchi

Hivyo mbwembwe fulani fulani kama bodaboda Ving'ora nk ni jambo la kawaida

Punguzeni nongwa
TUPE VIFUNGU KTK KATIBA VINAVYOSEMA HIVYO

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Ni ufafanuzi tu kidogo

Siku ya Bajeti ni maalumu na katika baadhi ya nchi watu hawaendi kazini

Waziri wa Fedha husoma Bajeti kuu ya serikali kwa niaba ya mkuu wa nchi

Hivyo mbwembwe fulani fulani kama bodaboda Ving'ora nk ni jambo la kawaida

Punguzeni nongwa
Yohana, mbege unazokunywa zimechacha, yani madilu amwakilishe Rais bungeni?
 
Ni
Ni ufafanuzi tu kidogo

Siku ya Bajeti ni maalumu na katika baadhi ya nchi watu hawaendi kazini

Waziri wa Fedha husoma Bajeti kuu ya serikali kwa niaba ya mkuu wa nchi

Hivyo mbwembwe fulani fulani kama bodaboda Ving'ora nk ni jambo la kawaida

Punguzeni nongwa
Pengine ni tabia yetu tu.
"Mashikolo mageni".
 
Ni ufafanuzi tu kidogo

Siku ya Bajeti ni maalumu na katika baadhi ya nchi watu hawaendi kazini

Waziri wa Fedha husoma Bajeti kuu ya serikali kwa niaba ya mkuu wa nchi

Hivyo mbwembwe fulani fulani kama bodaboda Ving'ora nk ni jambo la kawaida

Punguzeni nongwa
Sawa bana
 
Ni ufafanuzi tu kidogo

Siku ya Bajeti ni maalumu na katika baadhi ya nchi watu hawaendi kazini

Waziri wa Fedha husoma Bajeti kuu ya serikali kwa niaba ya mkuu wa nchi

Hivyo mbwembwe fulani fulani kama bodaboda Ving'ora nk ni jambo la kawaida

Punguzeni nongwa
Kuchora mawe barabarani kule Singida Pia ni kumuwakilisha Rais
 
Ni ufafanuzi tu kidogo

Siku ya Bajeti ni maalumu na katika baadhi ya nchi watu hawaendi kazini

Waziri wa Fedha husoma Bajeti kuu ya serikali kwa niaba ya mkuu wa nchi

Hivyo mbwembwe fulani fulani kama bodaboda Ving'ora nk ni jambo la kawaida

Punguzeni nongwa
Kama nchi ipi ambayo bajeti yake ikisomwa watu hawaendi kazini?
 
Ni ufafanuzi tu kidogo

Siku ya Bajeti ni maalumu na katika baadhi ya nchi watu hawaendi kazini

Waziri wa Fedha husoma Bajeti kuu ya serikali kwa niaba ya mkuu wa nchi

Hivyo mbwembwe fulani fulani kama bodaboda Ving'ora nk ni jambo la kawaida

Punguzeni nongwa
mhhh huoni ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi.mbona hizo mbwembwe hatuzioni ktk nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom