Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,068
- 2,225
wakati mgomo wa madaktari na wauguzi ukiendelea,waziri wa afya ametembelea hospitali ya taifa muhimbili.mara baada ya kufika baadhi ya wagonjwa walipelekwa kwenye mabenchi na kuanza kupigwa picha.kwa upande wa MOI na EMD hali bado ni mbaya,mfano profesa ambaye ni mkuu wa kitengo cha wagonjwa wa dharura alionekana akifanya kazi peke yake.naendelea kutafuta taarifa zaidi kutoka sources zangu zilizosambaa nchi nzima.