Waziri Stephen Wassira Yuko Likizo Igunga?

Waziri Stephen Wassira Yuko Likizo Igunga?

Ndugu zangu wanajf nimekuwa nikifuatilia uwepo wa Waziri Stephen Wassira kule Igunga kataka kusaidia kampeni za Chama Cha Magamba yaani CCM ili kiweze kuchukua kiti kilichaoachwa na mmoja wa mapacha watatu ndani ya CCM. Taarifa nilizonazo ametumwa na Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Mara na atakuwepo kwa kipindi chote cha kampeni. Je napenda kufahamu Stephen Wassira kama Waziri ambaye ni mahiri kulala bungeni atakuwa likizo ya kikazi?

Je aliyemteua kwenye nafazi ya uwaziri amemruhusu tena kwa malipo kuwepo Igunga kwa muda wote wa kampeni? Je hii likizo ya aina hii ipo kwa mujibu wa sheria?ambaye anaufahamu wa misingi ya sheria na taratibu za viongozi wa serikali hii ya magamba kama ilivyo kwa Wasira imekkaje?

Yuko Igunga kama Mwenyekiti wa kamati ya uchakachuaji katika uchaguzi huu mdogo kule Igunga ili kuhakikisha mgombea wa magamba anapata ushindi wa "Tsunami" na inasemekana ataendelea kuwepo huko hadi matokeo yatakapotangazwa rasmi katika wiki ya kwanza ya October, 2011.
 
Kwenye chaguzi ndogo zenye ushindani mkali watu ndo wanapo"kula"... akae Dar ofisini kuna nini? ... Chambi chambi hizo mkuu, Usishangae.
 
Mimi niko huku Gombe National Park........naangalia wanyama katika kudumisha utalii wa ndani....siataki siasa kwa sasa

12.jpg

Wangemchukua huyu kwenda kuongeza nguvu, mikutano yao ingekuwa inapata watu wengi wa kwenda kuangalia na kusikiliza.
 
Wangemchukua huyu kwenda kuongeza nguvu, mikutano yao ingekuwa inapata watu wengi wa kwenda kuangalia na kusikiliza.
<br />
<br />
Unataka kusema watu hawahudhurii mikutano ya magamba
 
amelala mno bungeni inabidi akapumzike maana hakuna jinsi lakini jimbo kwake ndio hivyo tena hana jipya
 
Ndugu zangu wanajf nimekuwa nikifuatilia uwepo wa Waziri Stephen Wassira kule Igunga kataka kusaidia kampeni za Chama Cha Magamba yaani CCM ili kiweze kuchukua kiti kilichaoachwa na mmoja wa mapacha watatu ndani ya CCM. Taarifa nilizonazo ametumwa na Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Mara na atakuwepo kwa kipindi chote cha kampeni. Je napenda kufahamu Stephen Wassira kama Waziri ambaye ni mahiri kulala bungeni atakuwa likizo ya kikazi?

Je aliyemteua kwenye nafazi ya uwaziri amemruhusu tena kwa malipo kuwepo Igunga kwa muda wote wa kampeni? Je hii likizo ya aina hii ipo kwa mujibu wa sheria?ambaye anaufahamu wa misingi ya sheria na taratibu za viongozi wa serikali hii ya magamba kama ilivyo kwa Wasira imekkaje?

Kwa kweli hata mimi hili linanishangaza sana, sijui likoje bt sikulitegemea kabisa. Cha ajabu akiwa na wanamagamba wenzake huyu bwana hasinzii, shughuri huja pale awapo Bungeni yani ni full kulala, kuna haja ya kumpelekea Blanket kabisa!
 
Back
Top Bottom