MKWECHE
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 299
- 64
Kumbe Mawaziri wetu ni wakarimu kiasi hiki!
Jana Mbunge Machachari Mh.Anne Kilango,Akichangia hoja ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Sauti ya Msisitizo na Kiapo kikali alisema katu hataunga mkono hoja ya Waziri Ngeleja hata Kama Ngeleja aliwahi kumnunulia Kikombe cha Chai!
Najiuliza kidogo,Waziri kununulia Mbunge kikombe chai ni Ukarimu wa Mtanzania?
Jana Mbunge Machachari Mh.Anne Kilango,Akichangia hoja ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Sauti ya Msisitizo na Kiapo kikali alisema katu hataunga mkono hoja ya Waziri Ngeleja hata Kama Ngeleja aliwahi kumnunulia Kikombe cha Chai!
Najiuliza kidogo,Waziri kununulia Mbunge kikombe chai ni Ukarimu wa Mtanzania?