jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
hiyo haisaidii tiketi inaandikwa bei ya kawaida ila unauziwa gali hutaki unaacha wenzio wananunua kuna mtu jana kalipa elf 50
Utafutwe utaratibu wa kielektroniki wa kuuza na kununua tiketi za mabasi.