Hizi tenda zilitakiwa kupokelewa hata na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum kwa niaba ya serikali! Halafu zingegawiwa kwa ndugu zetu katika imaan wakati wa mfungo mtukufu wa Ramadhan! Mambo yangekuwa murua kabisa.
Hakukuwa na sababu ya msingi kwa waziri kuacha kazi na kwenda kupokea hizo tende za msaada.