Waziri Muhongo kwanini kuwadanganya watanzania?

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
IMG-20161231-WA0010.jpg
 
Huyu ni one of the HOPELESS Ministers...
Hana lolote analofanya.
Umeme wala haujawa stable.. Bado unakatikakatika..
Haya sasa umeme umepanda bei kinyume kabisa na kauli yake.
 
Natamani wamuulize atajibu nini!
Labda tutaambiwa nae alikuwa anawatani zake alikuwa anawatania
 
Jamani kuna ile kitu inaitwa std chtd Hong Kong watalipwaje bila kupindisha bei?
 
Huyu ni one of the HOPELESS Ministers...
Hana lolote analofanya.
Umeme wala haujawa stable.. Bado unakatikakatika..
Haya sasa umeme umepanda bei kinyume kabisa na kauli yake.
Sasa hivi wako busy ofisini kutengeneza uongo wa sababu za kupandisha bei. Ibgekuwa Ulaya angeshajiuzulu muda mrefu. Huku kwetu bila aibu atakuja tena kurudia yale yale na bado atapata wajinga wengi wa kumpigia makofi
 
Huyu ni one of the HOPELESS Ministers...
Hana lolote analofanya.
Umeme wala haujawa stable.. Bado unakatikakatika..
Haya sasa umeme umepanda bei kinyume kabisa na kauli yake.
Mzazi wangu amelipia service line huu ni mwezi wa saba ati hakuna nguzo bado meneja yuko ofisini na ukienda majibu hakuna nguzo. Muhongo ni kutoa matamko hewa tuu. Apige simu Tanesco Himo kama nadanganya maana mnataka ushahidi. Niko tayari hata kuweka risiti hapa Jf. Inakera
 
Back
Top Bottom