Better the devil you know than the angel you do not know,,pinda kapinda hasa,ukiona mwanaume baba mzima analilia cheo ujue ana matatizo,,,kwake upm ni favor ya waliomweka na si utumishi wa umma,ila siku yaja na saa ipo karibu wote wanaowasaliti wtz watafungwa jiwe kubwa na kurushwa baharini penye kina kirefu,tuungane na kushikamana kwa ajili ya ukombozi wa nchi hii...