Waziri mkuu Kassim Majaliwa awasili Lusaka kwa mkutano wa benki ya maendeleo Afrika

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,575



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Zambia, Christopher Mulenga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda uliopo Lusaka Mei 23, may 2016 ambako leo atamwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika
 
Halafu Mkutano huo ni muhimu sana sana katika Diplomasia ya Uchumi. Top Diplomat alipaswa ahudhurie.

Hivi Kenya watakuwa wamewakilishwa na nani?

Unajua tuliposema safari zisizo na tija za Rais nje ya nchi zipunguzwe hatukumaanisha hadi zenye tija.

Sijui tatizo ni ukosefu wa exposure kimataifa kwa Rais au Dr.Mahiga anashindwa kumshauri Rais au anakataa ushauri

Pia alikosa mkutano muhimu wa kwanza wa AU Summit uliofanyika Addis -Ababa January

Pale ndio ilikua fursa ya kukutana na viongozi wengine na yeye akiwa mgeni miongoni mwao. Pia kuna bilateral dialogue ambazo angefanya pengine zingezidi kumfanya serikali yake ijipambanue vyema kimataifa

Kupunguza Ziara nje maana yake ni zile zisizo na tija .Hatukua na maana ya kumfanya awe "Too Local".
 
Angalau waziri mkuu inaelekea anajua kiingereza. Sasa nimepata ahueni kuwa safari za nje tumepata mtu wa kutuwakilisha. Hii kitu ilikuwa inanisumbua sana kwakweli.
 
Halafu Mkutano huo ni muhimu sana sana katika Diplomasia ya Uchumi. Top Diplomat alipaswa ahudhurie.

Hivi Kenya watakuwa wamewakilishwa na nani?

Unajua tuliposema safari zisizo na tija za Rais nje ya nchi zipunguzwe hatukumaanisha hadi zenye tija.

Sijui tatizo ni ukosefu wa exposure kimataifa kwa Rais au Dr.Mahiga anashindwa kumshauri Rais au anakataa ushauri

Pia alikosa mkutano muhimu wa kwanza wa AU Summit uliofanyika Addis -Ababa January

Pale ndio ilikua fursa ya kukutana na viongozi wengine na yeye akiwa mgeni miongoni mwao. Pia kuna bilateral dialogue ambazo angefanya pengine zingezidi kumfanya serikali yake ijipambanue vyema kimataifa

Kupunguza Ziara nje maana yake ni zile zisizo na tija .Hatukua na maana ya kumfanya awe "Too Local".
wazili mkuu anatosha, nadhani raisi anao watu makini wanaoweza kuchuja mambo kujua wapi aende na wapi atume wazili mkuu.

sidhani kwamba kila anapomtuma wazili mkuu anakuwa anabana matumizi.
 
Halafu Mkutano huo ni muhimu sana sana katika Diplomasia ya Uchumi. Top Diplomat alipaswa ahudhurie.

Hivi Kenya watakuwa wamewakilishwa na nani?

Unajua tuliposema safari zisizo na tija za Rais nje ya nchi zipunguzwe hatukumaanisha hadi zenye tija.

Sijui tatizo ni ukosefu wa exposure kimataifa kwa Rais au Dr.Mahiga anashindwa kumshauri Rais au anakataa ushauri

Pia alikosa mkutano muhimu wa kwanza wa AU Summit uliofanyika Addis -Ababa January

Pale ndio ilikua fursa ya kukutana na viongozi wengine na yeye akiwa mgeni miongoni mwao. Pia kuna bilateral dialogue ambazo angefanya pengine zingezidi kumfanya serikali yake ijipambanue vyema kimataifa

Kupunguza Ziara nje maana yake ni zile zisizo na tija .Hatukua na maana ya kumfanya awe "Too Local".
Wewe ane mjoovu huna lolote la maana uongozi mahiri hutumia busara kufikia uamuzi sio kila mkutano rais auhudhurie
 
Back
Top Bottom