Waziri: Majipu yaliyoruhusu RIFARO, tumbua kesho

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
57,643
32,118
July 2015-feb 2016

Mh waziri

Hii ni kashfa kwa wizara yaki sidhani unaitaji kuendelea kuchafuliwa kwa hilo else watanzania tutaiogopa wizara ya mawasiliano kama BoT walivyoishinisha wahuni wa DECI huky wakijua ni matapeli na kuja kuwaibia watanzania.

Nafikiri ni aibu kubwa sababu kampuni imejipanua kila kona miezi yote hii kama ni kibali inamaana mawasiliano yao na wanapotoa hela kwa wahusika mlikuwa amuoni ama mnaleta usanii serikali ya JPM.

Mh waziri kuna mnuso, hawawezi fanya kazi mda wote huo bila kibali mimi naamini hata kutumbuliwa hili jipu kuna kutokuelewana humo ndani else ingeendelea mpaka jul16.
 
Dah! kuna dada yangu nilimwonya kuhusu hao matapeli akashupaza shingo..
 
Inawezekana wewe ni mgeni na Pdidy mkuu. Hiyo ndio style yake ya uandishi na hapo itakuwa ametulia kweli kweli na kwa mpangilio wa hali ya juu maana mimi nimeelewa bandiko lake.
kwamba jamaa hapo amefika mwisho?
 
Huyu ndugu Yake deci alisajiliwaje Na tcra maana ni biashara hii Na deci baba mmoja
 
Aaah msamehe bure tu huyu maana hapo ndo ameandika kwa utulivu na amechukua siku 2 hivi akiwa na kamusi na kuwapa ndugu zake wengine wa hariri ndo sasa ameweza kupost hii thread. hata kuna watu wengine huwa wananiomba niwatafsirie maana mimi nlisoma lugha za vichaa na ubongo tepe. so kama ukishindwa kabisa nambie nikutafsirie anamaanisha nini. ELIMU, ELIMU, ELIMU.

Ungetulia ukaandika vizuri na kwa mpangilio ungeeleweka vizuri mkuu.
Mwandiko wako mbovu sana
 
Silly

Mi nimekuta bosi mk
Dah! kuna dada yangu nilimwonya kuhusu hao matapeli akashupaza shingo..
m nimekuta bosi mkubwa Arusha NA mbeya kila anaeingia anampa lect nkajiuliza ana hela za kutosha kunanini humo
 
NilimsikiliA mwisho nkasikiaa unaingia KWA 128"000 kama emtr fee loh kwanini wasiweke 130"000 kabisa watu mngeogopa
 
Back
Top Bottom