Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,455
- 95,873
Kwa vile Rais ni mzanzibar wanatumia advantage hiyoKwa structure ya Muungano huu, ndo hawatopata hata shilingi. Huyu fundi cherehani Hamza ni kilaza mmoja hivi ambaye hawezi kujua impact ya akisemacho. Kabla ya kujadili namna ya kugawana mapato ya Muungano...
Ajira wananufaika Zanzabar kila kitu mpaka ardhi halafu sisi hakuna la maana kutoka kwao tunanufaikaNaunga mkono hoja yako 100%
Mbona hajazungumzia kuhusu pande zote kuwa zinatakiwa zichangie sawa gharama za kuendesha huu Muungano bali anasisitiza tu kugawana sawa
Yule ni mnafiki na fitina, kabla ya Huo uvamizi wake mbona hatukuisikia hizo fitina zake? Laanatullahi mshenzi yuleLakini mkumbuke Nyerere alisema ndani ya muungano ndio watasema sisi ni wazanzibari na wao ni watanganyika lakini nje ya muungano watu watasema sisi ni wapemba na wao ni waunguja π π ππ ! Utata !!
Duh, mpaka wewe leo?? Ila kiuhalisia Zanzibar inapenda kudeka na ipo siku anaedekewa atachoka halafu majibu yatapatikana.Naunga mkono hoja yako 100%
Yes, hiyo hoja ikiletwa inabidi ijibiwe kwa model ya ya weighted average revenue vs weighted average expenditure halafu ionekane nani anachangia nini.Mbona hajazungumzia kuhusu pande zote kuwa zinatakiwa zichangie sawa gharama za kuendesha huu Muungano bali anasisitiza tu kugawana sawa
Je wakati ukifika mapato yakabaki tugawane?Huyo waziri hafahamu alisemalo, ana kurupuka na kuhororoja bila uelewa.
Tanzania toka lini mapato yanabaki (surplus)?
Bajeti yenyewe mpaka leo miaka zaidi ya 60 baada ya Uhuru bado tunasaidiwa bajeti yetu.
Hoja yao Zanzibar iliungana na Tanganyika ikiwa nchi kamili na Wala si mkoa.Kwa structure ya Muungano huu, ndo hawatopata hata shilingi. Huyu fundi cherehani Hamza ni kilaza mmoja hivi ambaye hawezi kujua impact ya akisemacho. Kabla ya kujadili namna ya kugawana mapato ya Muungano, yabidi kwanza kubaini hayo mapato ya Muungano. Yeye akiambiwa atofautishe mapato ya Muungano na yasiyo ya Muungano ataweza? Zanzibar shouldn't take an advantage of having a union president from Zanzibar to push for "unresolved" issues. Watamharibia maza na wao wasipate chochote.
Duh !!Yule ni mnafiki na fitina, kabla ya Huo uvamizi wake mbona hatukuisikia hizo fitina zake? Laanatullahi mshenzi yule
Hawataki kabisa kupoteza Taifa lao! Come what may !Hoja yao Zanzibar iliungana na Tanganyika ikiwa nchi kamili na Wala si mkoa.
Kifupi wako kwenye muungano kishingo upande kwa hiyo wanaweka condition ngumu ishindikane kuendelea.
Ajira tu zenyewe wanalamba 21 percent.
Marehemu Mzee Karume alisemaga Muungano huu ni kama koti tu likikubana unalivua π π je alikuwa sahihi ??!!Hawa wazenji tumewachoka na malalamiko Yao bwana
Huyo waziri ana akili ya utegemezi.Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Hamza amesema ndani ya miezi 6 kikokotoo cha Mapato ya Muungano kinaweza kubadilika kufuatia mazungumzo yanayoendelea Kati ya Serikal ya JMT na SMZ
Hamza amesema kwa sasa Zanzibar inapata 4.5% ya Mapato ya Muungano kitu ambacho siyo sahihi kabisa
Hamza amesema kimsingi inatakiwa Uchukue Mapato ya Muungano Utoe Matumizi ya Muungano na kinachobaki yaani Salio ndio ligawanywe kwa Zanzibar na Bara
Source ITV Dakika 45
Waziri Hamza: Watumwa dhaifu kutoka Uchagani na Kigoma waliuzwa pale pale Unguja ππAjira wananufaika Zanzabar kila kitu mpaka ardhi halafu sisi hakuna la maana kutoka kwao tunanufaika
Waliuzana wenyewe na wengine wakijileta wenyewe kuuzwa Kama hawa waliojipeleka kwa Mchungaji Mackenzie kwenda kuuliwaWaziri Hamza: Watumwa dhaifu kutoka Uchagani na Kigoma waliuzwa pale pale Unguja ππ