Waziri Aweso: Tuna upungufu wa maji kutokana na ongezeko la watu

Waziri Aweso: Tuna upungufu wa maji kutokana na ongezeko la watu

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, akitoa taarifa kwa umma kuhusu utekelezaji wa ahadi za Mhe. Rais na mafanikio ndani ya siku 100 za Serikali ya awamu ya sita, leo Tarehe 28 Januari 2025; katika ukumbi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dodoma.

 
Huyu anasifiwaga ila sijawahi ona ana jipya gani. Kwani anashindwa kubuni mradi wa ku desalinate maji ya bahari!! Yaani tunazidiwa na nchi zenye majangwa huko uarabuni.

Tanzania na maji yote haya hatutakiwi kwa sasa kufikiria technology expensive kama hizo. Hata hiyo Ruvu kama wangeitumia vizuri plus Rufiji hakukutakiwa kuwa na tatizo la maji pwani yote.
 
Ni lini Mliwahi kutosheleza hitaji la maji ukiondoa hii sababu ya kijinga ya ongezeko la watu?

Hivi, nyinyi ccm mmewehuka eeeh...?

Ni kitu kipi nyinyi mmewahi kukitekeleza kwa ufanisi tangu nchi yetu ipate uhuru?

Sheet!!
 
Back
Top Bottom