Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Wapendwa najua wote n binadamu lakini hawa mawaziri wa serikali ya sasa nahisi wahuni na wababishaji sasa imefika wananchi kuwaondoa kama ni kwa maandamano ama lah..lakini ni vyema tukaanza kuwaangamiza na vifungu vya sheria kwanza
huyu waziri wa nishati alidiriki kututajia wamiliki wa dowans na kusema ndio halisi sasa ktkt majina yao akuna jila la huyu bana alietoka huko uarabuni na kudai yeye n mmiliki wa dowans....ndg wapendwa amwoni kuna umuhimu wa kumlazimisha huyu mpuuzi kuondoka madarakani..kwa nini audanganyike umaa wa watanzania bora upuuzi huu angeusomea bungen lakini anaita vyombo vya habari na kukaa kimya si ustaarabu
tunaitaji another squre jamani
get ready c u at top
huyu waziri wa nishati alidiriki kututajia wamiliki wa dowans na kusema ndio halisi sasa ktkt majina yao akuna jila la huyu bana alietoka huko uarabuni na kudai yeye n mmiliki wa dowans....ndg wapendwa amwoni kuna umuhimu wa kumlazimisha huyu mpuuzi kuondoka madarakani..kwa nini audanganyike umaa wa watanzania bora upuuzi huu angeusomea bungen lakini anaita vyombo vya habari na kukaa kimya si ustaarabu
tunaitaji another squre jamani
get ready c u at top