Wazee wawili wauawa kikatili Mbeya kutokana na imani za kishirikina

RUCCI

JF-Expert Member
Oct 6, 2011
1,701
1,714
Wazee wawili wakazi wa kitongoji cha Bulinda Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya waliofahamika kwa majina ya 1. Geneli Kapwela [65] na 2. Rahabu Bungulu [70] waliuawa kwa kukatwa na vitu vyenye ncha kali sehemu mbalimbali za miili yao na kisha kuchomwa moto na wananchi walioamua kujichukulia sheria mkononi.

Miili ya marehemu ilikutwa katika nyumba walimokuwa wakiishi mnamo tarehe 01.01.2016 majira ya saa 08:00 asubuhi huko kitongoji cha Bulinda, Kijiji/Kata ya Matema, Tarafa ya Ntembela Wilaya ya Kyela mkoa wa Mbeya.
 
Aisee watu kuuana imekuwa ndio suluhisho la kila kitu siku hizi, japokuwa na mimi sio shabiki wa ushirikina lakini pia sipendi mauaji, hiyo kazi ni ya mungu tu
 
Back
Top Bottom