Utaua kunguni kengeweeChukua majivu kidogo yaliyopikiwa chakula cha asubuhi. Chukua yakiwa bado hayajapoa sana na nenda ukayamwage sehemu wanayokojolea wapita njia. Fanya hivyo mida ya saa sita mchana (jua likiwa limesimama katikati). Wakati unayamwaga unaweza kusema maneno yo yote unayotaka yatokee kwenye mashine yako. Baada ya hapo rudi nyumbani na oga kwa maji ya uvuguvugu. Halafu nenda ukapige mechi yako kiroho safi. Usisahau kuleta mrejesho hapa 💪💪💪
Badala umuhusie aache uzinzi unamshauri akishatatua tatizo aende Tena kuopoa hovyoChukua majivu kidogo yaliyopikiwa chakula cha asubuhi. Chukua yakiwa bado hayajapoa sana na nenda ukayamwage sehemu wanayokojolea wapita njia. Fanya hivyo mida ya saa sita mchana (jua likiwa limesimama katikati). Wakati unayamwaga unaweza kusema maneno yo yote unayotaka yatokee kwenye mashine yako. Baada ya hapo rudi nyumbani na oga kwa maji ya uvuguvugu. Halafu nenda ukapige mechi yako kiroho safi. Usisahau kuleta mrejesho hapa 💪💪💪
Kwenu kuna kunguni? Kunguni hapa wanaingiaje? Wewe unahusikaje na aliyekuwa anaomba msaada? Kenge wahedi sikweadi!Utaua kunguni kengewee
Ushauri wangu ni huo. Na wewe una uhuru wa kutoa ushauri wo wote unaotaka Sister Abigail. Katiba inakuruhusu kabisa. Usiogope!Badala umuhusie aache uzinzi unamshauri akishatatua tatizo aende Tena kuopoa hovyo
Wewe ndio yule kenge alietajwa Bungeni?Kwenu kuna kunguni? Kunguni hapa wanaingiaje? Wewe unahusikaje na aliyekuwa anaomba msaada? Kenge wahedi sikweadi!
Huyo ni baba yako!Wewe ndio yule kenge alietajwa Bungeni?