Wakuu, salute kwenu.
Kwanza Nina swali: ni kweli beer zinakufanya unenepe?
Pili; tushauriane Pombe salama aina ya spirit ambazo haziumizi sana kichwa au maini.
Mimi nimechoka kunywa beer na hizi spirit za kibongo nataka kubadilisha nipige ipi? Unywaji wangu ni wa wastani sana. Nawasilisha kwenu.
Kwanza Nina swali: ni kweli beer zinakufanya unenepe?
Pili; tushauriane Pombe salama aina ya spirit ambazo haziumizi sana kichwa au maini.
Mimi nimechoka kunywa beer na hizi spirit za kibongo nataka kubadilisha nipige ipi? Unywaji wangu ni wa wastani sana. Nawasilisha kwenu.