donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Ana ngoma gn kali mkuu niShusheMr nazikubal riddim mixing zinazomixiwa na ma dj wa kenya eg.. Dj lyta na wale jamaa wa supremacy sounds
Kwa upande wa msanii wa riddim namkubal sana KONSHENS
itafute pull over kama sijakoseaAna ngoma gn kali mkuu niShushe
Mi nina mix ya Dj Simple simon wa supremacy Sounds ya Riddim....Pia na yule Dj Juan namuelewa sana kwenye Reggae mixMr nazikubal riddim mixing zinazomixiwa na ma dj wa kenya eg.. Dj lyta na wale jamaa wa supremacy sounds
Kwa upande wa msanii wa riddim namkubal sana KONSHENS
Yah Dj juan naye yupo vizur sema nimeanza kuzisikia mixing zake juz juzi,,sijui ni mgen pale supremacy soundMi nina mix ya Dj Simple simon wa supremacy Sounds ya Riddim....Pia na yule Dj Juan namuelewa sana kwenye Reggae mix
anhaaa yuko vizuri siku nyingi tuYah Dj juan naye yupo vizur sema nimeanza kuzisikia mixing zake juz juzi,,sijui ni mgen pale supremacy sound
nashangaa madj wa bongo hawashobokei kabisa riddim...anhaaa yuko vizuri siku nyingi tu
Hapa kwa dj juan hata mi nakuunga mkono! Ana mix za hatariMi nina mix ya Dj Simple simon wa supremacy Sounds ya Riddim....Pia na yule Dj Juan namuelewa sana kwenye Reggae mix
Yeah madj wa kenya wako vizurinashangaa madj wa bongo hawashobokei kabisa riddim...
Umeona ee anatisha...Hapa kwa dj juan hata mi nakuunga mkono! Ana mix za hatari
Wekeni link msiandike kama mnapiga ramli chonganishi
hii nmeikubali
Nashkuru mkuuKuna riddim kibao tuu zimetoka lakini nakushauri umsikilize jamaa anaitwa chronixx waimbo unaitwa sweet skanking