swali kuu: kwa nini wabebwe? nilifikiri wanakipenda chama hata wawe tayari kuja mkutanoni kwa gharama zao. Pia maantiki iko wapi kubeba wanachama toka jimbo/wilaya jirani? nilifikiri bonanza (ze orijino komedi, TOT, bongo fleva nk) zinazotangulia mkutano wenyewe zingetosha kuvuta watu.