Wazazi mmekuwaje?

Sio wazee wa zamani, hata sisi tulivyokuwa 20s wazazi walikuwa na uchungu na sisi hivi hivi, na madogo tulikuwa hatuwasikiizi.
Sawa nimekusikiliza! Kesho naolewa
 
Unaongea vitu kinadharia mno mkuu.

Mtu asiyejua Lolote kuhusu Familia anaweza kukuona wewe ni shujaa wa Hoja.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…