Wazazi kopeni pelekeni haraka watoto kujifunza kendesha treni za umeme wageni wasichukue soko

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,902
52,003
Rais kazinɗua ujenzi reli ya treni za umeme wazazi wenye hela hata kama hamna hela kopeni pelekeni watoto nje kusomea uenɗeshaji na ufunɗi wa treni za umeme ili mraɗi ukiƙamilika mshike ajira.Fursa hiyo achaneni na wabunge wanaoƙalia umɓeƴa ɓungeni mara ohh nitatekwa wanaongelea vitu puuzika visivƴo hakikika na visivƴo na maslahi kwa nchi.Wahini waacheni hao wabunge waenɗelee na porojo zao.wahini fursa.
 
Hakuna haja ya kusomea wataziendesha kibashite bashite tu habari ya kusoma na vyeti huko huko kwenu hapa kazi tu.
 
mbona bashite hajasomea na yupo jijini
Wewe kalia porojo za siasa ukiamka wenzio wamechukua fursa wewe unabaƙi kulia maisha magumu na kulia lia eti serikali ikutafutie fursa mzawa!
 
Eti wazazi kopeni msomeshe, Taifa masikini ambalo linahitaji wataalamu kwa udi na uvumba leo hii linahimiza watu wakope kupitia kada wa chama tawala..hii nayo kiboko aisee.

Taifa lazima liandae mfumo wa kupata vijana wa kitanzania kwenye kada mbali mbali kulingana na planning ilizonazo..
 
Acha wapige umbea tu, mradi ukikamilika watakuja kulalamaa,o
oh Wameleta watu toka njeee wazawa hatuthaminiwii...
 
hahaaa nikopeshe basi wewe nikasomee maana ualimu wa sanaa haunaga ajira siku hizi
 
Hapa ndipo ninapochokaga mipango ya serikali zetu

kwa serikali makini inanpofanya mradi mkubwa kama hivi, inanunua na teknolojia kabisa

Yaani wangepeleka hata wabongo mia2 for the first 3 years na wengine mia3 for the next 3-5years wasomee uendeshaji na utengenezaji wa train zenyewe na utengenezaji wa reli yake! ikiwezekana na kununua teknolojia ya kurepair most prone parts za train yenyewe

Ili after 5-7 years hii kitu iwe inajiendeshana kukaratbatiwa na wazawa. hata kama tutashindwa tengeneza train why tutengenezewa rail pia
 
Hapo naona serikali itume vijana kusomea taaluma zinahusiana na ajira hizo ni kawaida sana na itasaidia
 
Rais kazinɗua ujenzi reli ya treni za umeme wazazi wenye hela hata kama hamna hela kopeni pelekeni watoto nje kusomea uenɗeshaji na ufunɗi wa treni za umeme ili mraɗi ukiƙamilika mshike ajira.Fursa hiyo achaneni na wabunge wanaoƙalia umɓeƴa ɓungeni mara ohh nitatekwa wanaongelea vitu puuzika visivƴo hakikika na visivƴo na maslahi kwa nchi.Wahini waacheni hao wabunge waenɗelee na porojo zao.wahini fursa.
sasa mie huku kayanga nitajuaje chuo wanakosomea udereva wa treni ya umeme? kwanza nakimbizana na mkuu wa wilaya katika pori la burigi anataka nitoe ng'ombe porini. Wizara husika itafute nafasi za masomo kwenye vyuo vinavyotoa hiyo taaluma HELSB watangaze kudhamini ada kwa 100% uone vijana watakavyochangamkia.

Prof.Muhongo alivyotaka kuchimba gesi kapeleka vijana brazil algeria china kusomea mambo ya gesi, sasa prof mbarawa hadi greda liko saiti hatuelezani fulsa zilizopo.
 
Kwa haraka hara hiyo itakua ajira finyu saana kwasababu standard guege..inatumia umeme..hata napo haita weza kuzidi train10.. Hata kama ina madereva kwa kila tren wa wili..so ni bora ukawashauri wakasomee kilimo..kwani kilasiku watu wanataka kula
 
Back
Top Bottom