simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,695
- 9,580
Kuelekea mwezi tangu uchaguzi, Wazanzibari wanasubiri kwa hamu tamko la Maalim Seif linalohusu mazungumzo kati yake na Dr Shein.
Je, mazungumzo yatakwamua mkwamo wa kisiasa uliopo Zanzibar?
Nini majaliwa ya Zanzibar iwapo muafaka haujapatikana?
Muda unayoyoma, uvumilivu unafifia.
Je, mazungumzo yatakwamua mkwamo wa kisiasa uliopo Zanzibar?
Nini majaliwa ya Zanzibar iwapo muafaka haujapatikana?
Muda unayoyoma, uvumilivu unafifia.