Wazanzibari wa Bara

Wazanzibari wa Bara

Malungwana

Senior Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
187
Reaction score
99
Kama uliwahi kutembelea Zanzibar au kukaa kwa kipindi fulani, basi utayaona haya:-

1. Wazanzibari halisi (wanavyojiita wenyewe) kwa dhati kabisa hawana mapenzi ndani ya mioyo yao na watu wenye asili ya bara.

2.Wanaamini ndani ya mioyo yao mtu yeyote mwenye asili ya bara, basi hata awe kasoma vipi elimu ya dini ya kiisalam basi hana uwelewa kama ambavyo wao wanataka, na wanasema kua wabara wote ni wa kristo na wengi wao hujibadilisha dini na majina mara tu wakishuka boti pale bandarini Zanzibar!. na ndio maana ukiwa na asili ya bara hata kama ukisalimia Asalaam aleikum.......basi mara wasikujibu au wasiitikie ipasavyo.

3. Wabara hawana haki ya kumiliki ardhi Zanzibar, kwa kua sio kwao.

Hayo na mengi yanaonyesha ni kwa nini watu wenye asili ya bara hawathaminiki Zanzibar, mtu ambae anaonekana kana kwamba hajastaaarabika basi Zanzibar huitwa "mnyamwezi nini" na kuna baadhi ya wabara ambao walishaishi Zanbzibar kwa miaka mingi na wakabadilisha na dini, basi hata kabila zao za asili hua hawazipendi, na hawataki kuonekana ni watu wenye asili ya bara!!! hili ni tatizo lao.

Nilishawahi kumshuhudia mwendesha mashtaka mmoja mahakama ya Mfenesini, alitoa tamko kwa hakimu kua "Mweshimiwa naomba mtuhumiwa asipewe dhamana kwa kua ni mtu wa bara!" dah! nilishangaa sana!.

Kwenye nyumba za kupanga (hasa zinazomilikiwa na wa Pemba) hua hawataki kupangisha wabara (wabongo) kama wanavyoitwa huko Zanzibar, na kama ukipangishwa na ukiwa si muisilamu basi kupiga kwaya ni MARUFUKU!.

Tembelea maduka yote ya mjini Darajani, Stone town, nk, hutakuta duka hata moja anamiliki mtu wa bara, na huthubutu kupewa mlango wa kufungua duka, pale darajani utawakuta wa machinga tu wa kibara wameshika CD mkononi, ila sio maduka makubwa.

Madukani, hasa maduka ya nguo na vifaaa vya electronics, kule Zanzibar kuna bei aina tatu:-

1.Bei ya kwanza ni bei ya wenyewe kwa wenyewe, nina maana kama duka ni la mu Unguja basi ana bei ya mu unguja kwa mu unguja, kama ni la mpemba basi kuna bei ya mpemba kwa mpemba! hii ni bei nafuu sana ni ya wao kwa wao

2.Bei ya pili ni ya kuuziwa mbongo, hii bei utauziwa kwa muonekano tu kua wewe ni mbongo, kwa lafudhi ya kiswahili chako na kwa mavazi yako na jinsi ulivyochomekea shati lako na kuvaa buti ( maana wazanzibari si sana kuchomekea na mara nyingi huvaa sandals!)

3. Bei ya tatu ni yaa kuuziwa wazungu, hii ndi bei kubwa kuliko zote hapo juu.

Wana JF naomba michango yenu katika hili, huu kweli ni uungwana, je na wao wanaoishi huku bara wanatengwa na kufanyiwa kama haya?
 
Wasikusumbue, hao ni wabara tu, na kumbuka mkataa kwao ni Mtumwa.

Kabla ya Utawala wa Sultan wa Oman wapo walokuwa wakifanya shughuli zao baina ya bara na visiwani. Walotokea huko Mashariki ya mbali na kati sio kwao ila wamepata Urania wa Visiwani kwa kuzaliwa wala sio kwa ASILI.

PITTIA HISORIA INA MENGI.

HAO WASOTAKA KUPOKEA SALAAM YA MUNGU NI WAISLAMU LAKIN SIO WAUMINI. ALIYE MBORA MBELE YA MUNGU NI MCHA MUNGU TU, SI VINGINEVYO.

HILO LISIKUKONDESHE.
 
Kama uliwahi kutembelea Zanzibar au kukaa kwa kipindi fulani, basi utayaona haya:-

1. Wazanzibari halisi (wanavyojiita wenyewe) kwa dhati kabisa hawana mapenzi ndani ya mioyo yao na watu wenye asili ya bara.

2.Wanaamini ndani ya mioyo yao mtu yeyote mwenye asili ya bara, basi hata awe kasoma vipi elimu ya dini ya kiisalam basi hana uwelewa kama ambavyo wao wanataka, na wanasema kua wabara wote ni wa kristo na wengi wao hujibadilisha dini na majina mara tu wakishuka boti pale bandarini Zanzibar!. na ndio maana ukiwa na asili ya bara hata kama ukisalimia Asalaam aleikum.......basi mara wasikujibu au wasiitikie ipasavyo.
Habari,

Sio kweli kwamba wazanzibari hawawakubali wabara katika elimu ya dini na ndio mana watu kama shk Ponda, Ust Luanda Marehem Imani Petro na wengine wengi wamekuwa wakiheshimika sana ZNZ. Zanzibar kunakuwa kunafanyika makongamano ya kidini ambayo mara nyingi yanahudhuriwa na masheikh kutoka mikoa mbalimbali ya TZ bara
 
Malungwana usemayo nakubaliana na wewe kabisa mie niko huku miaka mingi.

Ubaguzi kweli upo tena mkubwa lakini ukisoma historia ya hiki kisiwa, si cha waunguja wala wapemba aka wamakonde, manake wapemba wote ni chimbuko la wamakonde. Kama kuna mpemba abishe anayejua hasa historia ya hivi visiwa, na acha hizo hizo kipindi cha kampeni zikifika sasa kunakuwa na upemba na uunguja, hapo mpemba kununua vitu kwa chukua chako mapema mh inakuwa full kununiana, hucheka sana, ila mie nimekaa huku nimewasoma sana.

Miaka ya nyuma kabla hawajajichanganya Unguja na wabara walikuwa wanaishi vizuri tu, lakini wapemba walivyoanza hama kwao wakaja huku unguja, ubaguzi ukazidi, ni wachapakazi sana lakini hunikera kwenye kubagua
 
Last edited by a moderator:
Kila siku nasema, udogo wa kichwa ni dalili ya kufubaa kwa ubongo, usiwashangae ndiomaana hawana vichogo.
 
Huku Tanganyika wamekaa kama kwao na wanamiliki mashamba makubwa kweli wakati ndugu zangu wasukuma wanafukuzwa na kuuliwa!

Kitunda wamejaa tele na wakurya wamefukuzwa!

Bakhresa anamiliki ekari zaidi ya laki na watanganyika hatulipwi kodi ya uwekezaji!

sisi watanganyika ni washenzi na wapuuzi sana!! Yes SISI WAPUUZI
 
Habari,

Sio kweli kwamba wazanzibari hawawakubali wabara katika elimu ya dini na ndio mana watu kama shk Ponda, Ust Luanda Marehem Imani Petro na wengine wengi wamekuwa wakiheshimika sana ZNZ. Zanzibar kunakuwa kunafanyika makongamano ya kidini ambayo mara nyingi yanahudhuriwa na masheikh kutoka mikoa mbalimbali ya TZ bara

MUONGOO,

mbona walimponda sheikh Ponda na wakasema hawamtaki kule na wenye ilimu ya dini ni wengi kuliko bara?
 
MUONGOO,

mbona walimponda sheikh Ponda na wakasema hawamtaki kule na wenye ilimu ya dini ni wengi kuliko bara?

Habari
Hao waliomponda ni waislamu wanafiki,vibaraka wa serikali kama ilivyo bakwata huku bara
 
Malungwana Ndugu ktk iimmaan Nyakageni muhtad Bawa mwamba AKAjasembasemba- sheckman

Sasa wakuu, hebu tuwaulize Mstaafu jaji Mkuu. Augostina Ramadhani, Mstaafu Raisi A.Hassan Mwinyi,Mhe. Salim Ahmed Salim, na Mfanya biashara maarufu SS.Bakhressa ivo kweli haya ya Ubara na Uswahili na UZwenji??!!

Mie kwa mtazamo wangu mtu kwao, Hata ukienda vijijini au miji ya wenyeji fulani utakuta kuna mchekecho na uchakachuaji katika kujitambulisha !! Haswa ukiwa stranger !!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom