KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,905
- 9,334
Sehemu pekee ambayo ilikuwa ni sehemu yakumaliza kilio chenu cha mda mrefu ilikuwa ni kwenye Rasmu ya Katiba kwani manung'uniko ya muda mrefu kuwa mmemezwa na Bara ni kati ya kero za Muuungano ambazo zimekuwa zikusumbua vichwa vya Wazanzibar wengi hadi kufikia kusema Mnataka mjitawale Sasa tumeona Juzi kuwa Mmepewa Mpira mmeshindwa kuucheza!
Je hapo mtamlaumu nani?
Tunategemea mtandelea kuiunga serikali ya Muungano hivyo hata ukija mchakato wa Serikali Moja tunajua tutakuwa Pamoja kwa hili!
Ila naomba muwashukuru wajumbe waliowawakilisha muendelee kuwpa sapoti 2015 katika majimboni kwani wameonyesha mlichokitaka!......................!!
Asante
Je hapo mtamlaumu nani?
Tunategemea mtandelea kuiunga serikali ya Muungano hivyo hata ukija mchakato wa Serikali Moja tunajua tutakuwa Pamoja kwa hili!
Ila naomba muwashukuru wajumbe waliowawakilisha muendelee kuwpa sapoti 2015 katika majimboni kwani wameonyesha mlichokitaka!......................!!
Asante