Moja ya watu walionifanya niipende MAN UTD, akitokea Everton na kufanya vizuri EURO 2004 akiwa na mabao 4 sawa na MILAN BAROS wa CZECHSLOVAKIA anatua MAN UTD na katika game yake ya kwanza ANAWEKA KAMBA 3.
LEGEND WAZZA.
Nakumbuka nami niliitwa ROONEY wakati nakichafua.