nurbert
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 1,887
- 427
wavutaji wa bangi wa wili walikamatwa na askari wakivuta bangi... Walipopelekwa mahakamani hakimu akawaamuru adhabu yao iwe kuwashauri wavutaji wenzao waache kuvuta bangi na baada ya mwez waje na takwimu ya wavutaj walio wa convince kuacha.
Siku ya kutoa riport ikawa hvi
Hakimu: enhee mvutaj wa 1 umeachisha wangapi?
Mvutaji1: 15 mheshimiwa...
Hakimu: ulitumia njia gani?
Mvutaji2: nliwaambia athari za bangi na madhara kw ujumla
Akamuulza wa pili
Hakimu: enhee ww uliwaachisha wa ngapi?
Mvutaji2: nliwaachisha kama 185 hv...
Hakimu: mh ww umewezaje kuachisha idadi kubwa km hyo?
Mvutaji2: mm nlitumia criteria kua ukikamatwa af upelekwe gerezani kama uliingia na 0713 utatoka na 0713
Siku ya kutoa riport ikawa hvi
Hakimu: enhee mvutaj wa 1 umeachisha wangapi?
Mvutaji1: 15 mheshimiwa...
Hakimu: ulitumia njia gani?
Mvutaji2: nliwaambia athari za bangi na madhara kw ujumla
Akamuulza wa pili
Hakimu: enhee ww uliwaachisha wa ngapi?
Mvutaji2: nliwaachisha kama 185 hv...
Hakimu: mh ww umewezaje kuachisha idadi kubwa km hyo?
Mvutaji2: mm nlitumia criteria kua ukikamatwa af upelekwe gerezani kama uliingia na 0713 utatoka na 0713