Mkuu umenena kweli. Maana sio kila atakayekuwa hapo kijijini ni mkazi wa kijiji hicho. Na hata kama ni mkazi wa kijiji hicho, sidhani kama ni sahihi kila kijiji kuwa na sheria yake (hasa zinazohusiana na uhuru wa mtu mmoja mmoja).
Tunaweza tukaishangilia hii, lakini kesho tukasikia kijiji kingine wakasema ni marufuku kusuka nywele, wengine ni marufuku kupaka kucha rangi, wengine ni marufuku kusikiliza miziki ya aina fulani nk.
sometimes ubabe unasaidia kama mtu hataki diplomasianchi ikiachwa watu wakaset standard zao wanazo dhania wao ndiyo maadili ktk jamii yao kutaibuka makundi haramu yanayo dhalilisha wanawake kwa visingizio vya dini na mila.
viongozi wa eneo husika waingilie kati mara moja kabla hali ya mambo haijaharibika. maoni yangu ni kutoka ktk historia ambako makundi haramu yanayo jiita ama watetezi wa dini ama mila yaliibuka na kuvunja kwa kiwango kikubwa haki za binadamu. ningesikia wamepiga marufuku wasiende ktk nyumba za ibada wamevaa vimini na milegezo ningeelewa lakini sivinginevyo.
nchi ikiachwa watu wakaset standard zao wanazo dhania wao ndiyo maadili ktk jamii yao kutaibuka makundi haramu yanayo dhalilisha wanawake kwa visingizio vya dini na mila.
viongozi wa eneo husika waingilie kati mara moja kabla hali ya mambo haijaharibika. maoni yangu ni kutoka ktk historia ambako makundi haramu yanayo jiita ama watetezi wa dini ama mila yaliibuka na kuvunja kwa kiwango kikubwa haki za binadamu. ningesikia wamepiga marufuku wasiende ktk nyumba za ibada wamevaa vimini na milegezo ningeelewa lakini sivinginevyo.
Mi nafikiri hayo maamuzi ni magumu kutekeleza sketi fupi ni ipi? Nguo za kubana ni zipi na nani ana wajibu wa kuchapa wengine.
Ujinga unapofikia hatua ya mwisho matokeo yake ni maamuzi ya kissenge kama haya!
Kukusaidia ni kuwa umeleweshwa na kikombe cha ukahaba na hivyo umeingiwa na wazimu wa uasherati: SOMA UFUNUO WA YOHANA 17 kutoka katika Biblia Takatifu.
sometimes ubabe unasaidia kama mtu hataki diplomasia
Nawewe umedanganywa na bikira maria yule mliyeipaiza mbinguni?
Unajiganya unajuaaaaa dini kumbe hewa tuu.
Jadili hoja mkuu,sio taarabu.
huna sababu ya kukejeli dini/dhehebu la watu wengine kwasababu tu umetofautiana kwa hoja na mtu mmoja!
Hao viongozi wa kanisa wamekuwa Mungu mpaka wahukumu? Watahukumu matendo ya nje je ya mioyoni? UKRISTO ni kuonya kwa upole na amani hukumu ni kazi ya MUNGU.Habari za al-shabab hizo nendeni mkaishi somalia nyambaf nyie!
Jamani watanzani tuna kwendawapi kijiji kimebuni jambo lamaana na lakuiga kwan sio utamaduni wetu kutembea uchi hayo tueaachie wazungu kwani hata miili yao haivutii mswahili akitembea nusu uchi ni shida tumuogope mungu ktk kulea taifa hili
sometimes ubabe unasaidia kama mtu hataki diplomasia
Mahakama za kiraia ziliifanya somalia isitawalike, serikali iwe makini. Anyway, nani ana-define kimini, mlegezo na skintight vinginevyo tujiandae kwa madudu ya Operation Tokomeza.