Sengimisoji
Senior Member
- Feb 2, 2022
- 128
- 208
Naombeni wanaujua wanisaidie hii imekaaje maana sielewi, niko na miaka 26 nafanya biashara Nina maduka matatu mji x...makubwa tu, moja nasimamia mm muda mwingi mengine ninawasaidizi.
Sasa inshu iko hivi Nina mahusiano na kaka mmoja wakisukuma, tangu nianze mahusiano na yy kipato changu kimeongezeka kwa kasi,Ila tatizo huwa tukigombana tu na kusema nistop mahusiano na yy basi biashara huwa mbaya upande wng,
Kama kwa siku nilikuwa naingiza faida 80000 basi ntakomea 40000 au chini yahapo,Ila tukimaliza mgogoro nikaanza kumuongelesha hali inarud kuwa sawa, mahusiano ya nyuma nilikuwa naduka moja na kipato chakawaida Sana, nahisi nitakuwa mtumwa kwa hili,
Nani ishawahi kumtokea hii hali,yy hajui kukasirka pia nimfanyabiashara na yy, angalizo hanipi hela zaidi ya laki kwa mwezi Ila ndio ivo nikiwa naye vizuri mambo yng yaniendea vizur,nishajaribu kuvunja mahusiano safari tano najikuta namrudia tu na ananipokea kama vile hakuna kilichotokea,MshanaJr hii imekaaje nawadau wengine
Sasa inshu iko hivi Nina mahusiano na kaka mmoja wakisukuma, tangu nianze mahusiano na yy kipato changu kimeongezeka kwa kasi,Ila tatizo huwa tukigombana tu na kusema nistop mahusiano na yy basi biashara huwa mbaya upande wng,
Kama kwa siku nilikuwa naingiza faida 80000 basi ntakomea 40000 au chini yahapo,Ila tukimaliza mgogoro nikaanza kumuongelesha hali inarud kuwa sawa, mahusiano ya nyuma nilikuwa naduka moja na kipato chakawaida Sana, nahisi nitakuwa mtumwa kwa hili,
Nani ishawahi kumtokea hii hali,yy hajui kukasirka pia nimfanyabiashara na yy, angalizo hanipi hela zaidi ya laki kwa mwezi Ila ndio ivo nikiwa naye vizuri mambo yng yaniendea vizur,nishajaribu kuvunja mahusiano safari tano najikuta namrudia tu na ananipokea kama vile hakuna kilichotokea,MshanaJr hii imekaaje nawadau wengine