Waume wapendeni wanawake.

Waume wapendeni wanawake.

Ikiwa utaonesha utii kwa mtu yoyote ni lazima upendwe tu. Kinyume cha utii ni uasi na pia kumbuka uasi ndio dhambi ya kwanza kabisa iliyomwingia shetani hadi akakataa kumtii Mungu. Mungu aimpenda shetani lakini shetani hakujali kupendwa na Mungu na badala yake hakumtii Mungu.

Kwa kuliona hilo ndio maana Mungu amewatahadharisha wanaume kwa kuwaambia kuwa "Enyi wanaume ishini na wake zenu kwa akili" na pia maandiko hayo hayo yanasema mwanamke -------- ndio huivunja nyumba yake yeye mwenyewe.

Hayo ni sawa kabisa. Tukirudi kwenye topik upendo huanza na utii utafuata.
 
Hayo ni sawa kabisa. Tukirudi kwenye topik upendo huanza na utii utafuata.

Ni sawa kusema hivyo na kuendelea kuamini kuwa mwanamke si lazima ampende mwanaume wa kumuoa cha msingi ni suala la mwanaume kutoa posa na binti bila kupima moyo wake analazimika kukubali kuolewa na yeyote aliyempenda, then azingatie kutii kwa kuwa anapendwa.
 
Ni sawa kusema hivyo na kuendelea kuamini kuwa mwanamke si lazima ampende mwanaume wa kumuoa cha msingi ni suala la mwanaume kutoa posa na binti bila kupima moyo wake analazimika kukubali kuolewa na yeyote aliyempenda, then azingatie kutii kwa kuwa anapendwa.


Sikubaliana na hapo unaposema SI LAZIMA MWANAMKE APENDE MWANAMUME WA KUMUOA. masuala ya posa ni utaratibu tu na makubaliano, si wazazi wote wanaopokea mahari za binti zao.
 
Sikubaliana na hapo unaposema SI LAZIMA MWANAMKE APENDE MWANAMUME WA KUMUOA. masuala ya posa ni utaratibu tu na makubaliano, si wazazi wote wanaopokea mahari za binti zao.

Kwani si ni wewe ndio uliyeanzisha mada kuwa MWANAUME NDIO ANAPASWA KUMPENDA MWANANKE? Ikiwa hukubaliani na hili la mwanamke halazimiki kumpenda mwanaume wa kumuoa basi kubali kubadili msimamamo wako kuhusu wanaume kuwapenda wanawake na badala yake uje na mtazamo wa wanaume na wanawake kupendana wote.
 
Kwani si ni wewe ndio uliyeanzisha mada kuwa MWANAUME NDIO ANAPASWA KUMPENDA MWANANKE? Ikiwa hukubaliani na hili la mwanamke halazimiki kumpenda mwanaume wa kumuoa basi kubali kubadili msimamamo wako kuhusu wanaume kuwapenda wanawake na badala yake uje na mtazamo wa wanaume na wanawake kupendana wote.

Nimeongelea upande mmoja wa mwanamke kupendwa, bado sijageuza upande wa pili. Simaanishi mwanamume asipendwe.
 
Nimeongelea upande mmoja wa mwanamke kupendwa, bado sijageuza upande wa pili. Simaanishi mwanamume asipendwe.

Niliona umeunga mkono kuwa mwanamke yeye anapaswa kumtii mwanaume tu tena ukasema ni lazima apendwe kwanza ili aweze kutii. yaani upendo hutangulia kisha utii hufuata. lakini kwa kuwa bado unataka kuzuuzungumzia upande wa pili ni vema ufanye hivyo kabla mjadala haujafikiwa mwisho.
 
Hapa JF kumejaa manungayembe yanataka kuolewa

Give me a break guy,unamanisha nini,kila anayetaka kuolewa ni nungayembe?au kutaka kuolewa ni dhambi?au kutokuolewa ni dhambi?For your information huku kuna wanawake wenye heshima zao kuliko hao unaofikiri wapo kanisani au msikitini i know some of them.

Kuna mtu haingii bar,hajichanganyi, kutoka kwake ni kazini na kanisani kuwa jf is not a justification of abusing us.

And being a man does not give you a right of talking whaever nasty you feel againsty women only because you can wake up in the morning and get married.
Life is vicious bro usitukane only because hatukuoni au ni kama vile unatujua

,

Unajuwa msipindishe kiswahili mwanaume ndiye anayetaka kuowa, na si mwanamke anataka kuolewa!
Na ndo maana ya mahari!

Mwanamke atasubiri kuolewa tu!

We pita pita huku na huko utangaze unataka kuolewa uone kivumbi!
 
Pouwa, tunafanya hivyo na tutazidisha zaidi
 
Kwenye blue!! Mara nyingi tabia za mke mtukanaji hazianzii ukubwani. Huyu alishazoea matusi toka mdogo, inawezekana amekuwa kwa kutukanwa na kuona mama yake akitukanana na baba yake hivyo naye anakuwa mtukanaji na mgombanaji na mbabe katika ndoa. Kitu kidogo tu kitaibua mahasira na machungu ya maisha aliyoishi akiwa mdogo, au mateso aliyoyapata mama yake ambayo yeye aliyashuhudia; hali hii humfanya hata asiwe na heshima wala kuona umuhimu wa mumewe kwake.Ni vizuri ukitaka kujua tabia za mwanamke unayemuoa nenda kaone mama yake anavyoishi na mumewe.

Ni kweli malezi yanachangia kutengeneza tabia ya mtu ukubwani.Ila suala la malezi sio suala la kumuongelea mtoto wa kike peke yake,ni suala la mtoto wa kiume na wa kike kwa pamoja.Sisi watu mara nyingi tunajisahau as If mtoto wa kiume vyovyote atakavyolelewa basi atakua na tabia nzuri,kumchukia mtoto na kumlea vibaya sio suala la jinsia peke yake:Kuna mambo mengi yanaweza mtoto asipendwe na kulelewa inavyotakiwa.ZAIDI NI MAHUSIANO YA WAZAZI,UCHUMI,JAMII HUSIKA,ELIMU,MAZINGIRA YANAYOWAZUNGUKA WAZAZI NK

Matatizo katika jamii yanaweza kusababishwa na mwanamke au mwanaume au wote kwa pamoja.Ukubwani nako kuna changia kwa kiasi kikubwa kubadili tabia ya mtu,na hii ni kwa kua na 1.uwezo mdogo kupambanua mambo 2.Kufuata mkumbo na Tamaa,mfano ulevi au umalaya 3.Maslahi 4.umaskini kwa utajiri,5.hulka za mtu binafsi au hata urithi 6.uhaba wa elimu na exposure 7.ubovu wa serikali na zingine nyingi..

Tunavyosema malezi na upendo kwa mtoto wa kike,Dada,Mke,mama (ki ujumla mwanamke) inabidi ukumbuke kua style ya kuwatimizia mahitaji ya upendo hayalingani kwa watu wanaotoa huo upendo (mtoto na mzazi,mke na mume mama na mtoto) na yana mipaka yake.Mimi mtazamo ni kwamba mke akiwa na tabia mbaya sababu sio kuzipekeka zote kwa walio mlea,kuna mambo binafsi na ya kijamii mengi hapo katikati yanayoweza kumfanya mke aonekane sio mzuri,NA SIO KWELI KUSEMA WATOTO WA KIKE HAWAPENDWI,.Na hali yiyo iko kwa watoto wa kiume pia.Haya mambo yana utata ktk kuya judge.
 
Umpende mwanamke?? Mimi huwa naenda night club nachukua wanawake 6 nawalaza uchi nagegeda wote kwa zamu na jicho siachi,sasa hapo nimpende yupi? Wanawake hawapendeki.mimi nawazalisha tu kisha nampenda mtoto.
 
^^
Kupenda nawapenda sana tatizo hawanipendi.
Love me I will love you back.
Usiombe Usichotimiza
^^
 
Tunaelewa kwamba mke ametoka katika ubavu wa mume. Hakutoka katika nyayo ili adharauliwe na kukandamizwa wala hakutoka katika kichwa ili mwanamume ajisifu kuwa yeye ana akili sana; bali ametoka ubavuni ili akumbatiwe na kulindwa, kumbuka ametoka ubavu wa kushoto ulio karibu na moyo ili apendwe, aheshimiwe na kuthaminiwa.

Kwa kuwa ubavu haujanyooka sawa sawa mke pia ana mapungufu, lakini asinyooshwe kwa nguvu atavunjika, akanywe kwa upole na upendo naye atasikia.

Nimependa sana haya maneno....!!!
ahsante happy.
 
Nilikuwa nadhani title ilipaswa iwe "Waume wapendeni wake zenu" badala ya "Waume wapendeni wanawake".
Neno 'waume" humaainisha wanaume wale waliooa...sasa itakuwa haina maana kama watu hao unapowahimiza wawapende wanawake badala ya wake...
 
Nimekupata loud n clear=happiness win;6798184]Tunaelewa kwamba mke ametoka katika ubavu wa mume. Hakutoka katika nyayo ili adharauliwe na kukandamizwa wala hakutoka katika kichwa ili mwanamume ajisifu kuwa yeye ana akili sana; bali ametoka ubavuni ili akumbatiwe na kulindwa, kumbuka ametoka ubavu wa kushoto ulio karibu na moyo ili apendwe, aheshimiwe na kuthaminiwa.

Kwa kuwa ubavu haujanyooka sawa sawa mke pia ana mapungufu, lakini asinyooshwe kwa nguvu atavunjika, akanywe kwa upole na upendo naye atasikia.

Mke ana ana akili, huruma, hisia na akifanyiwa yote hayo huwa kitu chema, tofauti na hivyo unamharibu na kuondoa lengo la Mungu kukuumbia msaidizi. Kumbuka mwanamke akiharibika hutaweza kumrudisha katika hali halisi aliyoumbwa nayo utaishia kuona mwanamke ni kiumbe hatari kisichostahili kuishi duniani.

Mambo haya yote yanaanza toka mwanamke anapozaliwa, apendwe, alindwe na atunzwe. Wapende dada zako/binti zako hadi watakapokuwa wake za watu na hadi kifo.
[/QUOTE]
 
Umpende mwanamke?? Mimi huwa naenda night club nachukua wanawake 6 nawalaza uchi nagegeda wote kwa zamu na jicho siachi,sasa hapo nimpende yupi? Wanawake hawapendeki.mimi nawazalisha tu kisha nampenda mtoto.

Yesu shuka Dunia iishe!!!!!!
 
Back
Top Bottom