generalisation at work....
sijui utasema nini ukisikia ya politicians, loan officers, secretaries and the like..
imagine mtu anatoa general comment about an occupation which your mom happens to earn her daily bread..
kama mumekosa maada bora mspost kitu. Yaan ww ungekuwa karibu ningekupa kerb moja matata sana. Unajua hao unaowasema ni wake zetu?? Na mpaka mda huu ninavyoandika hii post yupo kazn night shift?! Unanifanya nisilale sasa.... Acheni upuuz bhana umalaya ni tabia ya mtu. Hata ukimfuatilia mama yako,shangaz yako dada yako au hata mama yako mdogo wote hao wana michepko pemben. Acha kuturusha roho
generalisation at work....
sijui utasema nini ukisikia ya politicians, loan officers, secretaries and the like..
imagine mtu anatoa general comment about an occupation which your mom happens to earn her daily bread..