Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Zoezi la watumishi hewa na lile la kuhakiki vyeti limenidhirishia kuwa watumishi wengi wa serikali hawana jeuri ya kuthubutu kujiajiri au kutema utumishi wa umma.
Pamoja na manyanyaso yote waliyoyapata kwenye zoezi hili, pamoja na kuhenyeshwa kukimbia huku na kule wengi wao bado wameendelea kukabembelezea hako ka ajira kana kwamba ndio kila kitu kwenye maisha.
Alafu sasa.
Ukienda ofisi za umma kudai huduma wanavyovimba na kunata utadhani wao ndio maraisi wa nchi hii. Na vitumbo vyao wamevivimbisha na kuvipamba kwa tai, kumbe hamna jeuri yeyote.
Kuanzia sasa sitishiki na mtumishi yeyote wa umma. Mbali na hako ka ajira hawana jeuri ya kuendelea kukaa hapa mjini.
Sie tuliojiajiri ndio wanaume wa shoka. Unaamka mda unaotaka na unafanya kazi zako bila presha na bado unailea familia hapa mjini.
Oyooo!
Saluti kubwa kwa wote waliojiajiri...
Pamoja na manyanyaso yote waliyoyapata kwenye zoezi hili, pamoja na kuhenyeshwa kukimbia huku na kule wengi wao bado wameendelea kukabembelezea hako ka ajira kana kwamba ndio kila kitu kwenye maisha.
Alafu sasa.
Ukienda ofisi za umma kudai huduma wanavyovimba na kunata utadhani wao ndio maraisi wa nchi hii. Na vitumbo vyao wamevivimbisha na kuvipamba kwa tai, kumbe hamna jeuri yeyote.
Kuanzia sasa sitishiki na mtumishi yeyote wa umma. Mbali na hako ka ajira hawana jeuri ya kuendelea kukaa hapa mjini.
Sie tuliojiajiri ndio wanaume wa shoka. Unaamka mda unaotaka na unafanya kazi zako bila presha na bado unailea familia hapa mjini.
Oyooo!
Saluti kubwa kwa wote waliojiajiri...