Watumishi wa Umma asilimia kubwa wamemaliza mshahara wao kabla hata ya Disemba 25 ,2018 . Msoto ujao siyo wa kitoto...

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Jumanne ijayo, Disemba 25 ,2018 ni sikukuu ya Krismasi. Wiki moja baadae ni Mwaka Mpya 2019. Hapo panaambatana na ada za watoto na makorokoro mengine lukuki. Kodi sitaki kuizungumzia sana, maana kila mtu ana ratiba yake ya kulipa kodi.

Mshahara ukitoka Disemba 20 , 2018 kwa vifijo na shangwe za kutosha toka kwa wenzetu watumishi wa umma (hasa wanaotegemea mshahara).

Sasahivi watu wengi mifuko imetoboka, hawana kitu tena na mbele yao 'issues kibao'.

Yajayo yanafurahisha , uko tayari ?

SWALI LA KIZUSHI:

Kwanini watumishi wa umma hutegemea mshahara tu ? Kwanini waoga wa kujiongeza ?

KaziNaBata#
 
SWALI LA KIZUSHI:

Kwanini watumishi wa umma hutegemea mshahara tu ? Kwanini waoga wa kujiongeza ?

Sijui elimu yako, sijui upeo wako wa kufikiri, lkn nakujibu kama ifuatavyo watumishi wa umma wanategemea mishahara yao kwa sababu inawatosha. Ndio maana tunaendesha Harriers au Rav4, We endelea na ujinga wako eti vyuma vinakukaza mwanaume unakazwa? kati yangu ninayelipwa 4M per month na wewe mangi unayesubiri kamisheni ya tigopesa nani zaid? endelea kujifariji nabado
 
Jumanne ijayo, Disemba 25 ,2018 ni sikukuu ya Krismasi. Wiki moja baadae ni Mwaka Mpya 2019. Hapo panaambatana na ada za watoto na makorokoro mengine lukuki. Kodi sitaki kuizungumzia sana, maana kila mtu ana ratiba yake ya kulipa kodi.

Mshahara ukitoka Disemba 20 , 2018 kwa vifijo na shangwe za kutosha toka kwa wenzetu watumishi wa umma (hasa wanaotegemea mshahara).

Sasahivi watu wengi mifuko imetoboka, hawana kitu tena na mbele yao 'issues kibao'.

Yajayo yanafurahisha , uko tayari ?

SWALI LA KIZUSHI:

Kwanini watumishi wa umma hutegemea mshahara tu ? Kwanini waoga wa kujiongeza ?

KaziNaBata#
Hivi kwanini Watanzania tunapenda kufuatilia vipato na maisha ya wenzetu?
 
Sijui elimu yako, sijui upeo wako wa kufikiri, lkn nakujibu kama ifuatavyo watumishi wa umma wanategemea mishahara yao kwa sababu inawatosha. Ndio maana tunaendesha Harriers au Rav4, We endelea na ujinga wako eti vyuma vinakukaza mwanaume unakazwa? kati yangu ninayelipwa 4M per month na wewe mangi unayesubiri kamisheni ya tigopesa nani zaid? endelea kujifariji nabado
akina mangi kwenye utumishi wa umma wamejaa tele pia kwenye biashara ndio usiseme
unakuta ni mtumishi na hapo hapo ni bussnesman
 
Kila mtu Ana bajeti yake , mshahara ni jasho la mtumishi ulitaka nan autegemee? watz ni watu wa ajabu,kwan mtumishi hajui bajeti yake kwa mwez huu itakuaje hadi héla zimuishie?
 
Wewe inakuhusu nini? Kila mtu anajua jinsi anavyotumia mshahara wake, mbona unakiherehere kama kaka poa
 
Mmmh. Sitaki kuamini ukisemacho sababu kikawaida kila mmoja ana mipango yake huwezi sema Watumishi wa Umma karibia wote watumie mshahara tu pasi kuiwaza January. Tujifunze kuisemea mifuko yetu na si ya wenzetu.
 
Nina wasiwasi we mleta uzi ndio umeishiwa. Sababu nimeona nyuzi zako kama mbili zote unaongelea mshahara. Jipange Mkuu.
 
Sijui elimu yako, sijui upeo wako wa kufikiri, lkn nakujibu kama ifuatavyo watumishi wa umma wanategemea mishahara yao kwa sababu inawatosha. Ndio maana tunaendesha Harriers au Rav4, We endelea na ujinga wako eti vyuma vinakukaza mwanaume unakazwa? kati yangu ninayelipwa 4M per month na wewe mangi unayesubiri kamisheni ya tigopesa nani zaid? endelea kujifariji nabado
Dada mbona una mdomo mchafu hvyo
 
Ifike mahali Jf iwe kweli ya Greater thinker na siyo jukwaa la porojo na sehemu kubwa kujadili watu na siyo issues.....naona kama hali itaendelea hivii siku za usoni jf itapoteza mvuto zaidiii
 
Jumanne ijayo, Disemba 25 ,2018 ni sikukuu ya Krismasi. Wiki moja baadae ni Mwaka Mpya 2019. Hapo panaambatana na ada za watoto na makorokoro mengine lukuki. Kodi sitaki kuizungumzia sana, maana kila mtu ana ratiba yake ya kulipa kodi.

Mshahara ukitoka Disemba 20 , 2018 kwa vifijo na shangwe za kutosha toka kwa wenzetu watumishi wa umma (hasa wanaotegemea mshahara).

Sasahivi watu wengi mifuko imetoboka, hawana kitu tena na mbele yao 'issues kibao'.

Yajayo yanafurahisha , uko tayari ?

SWALI LA KIZUSHI:

Kwanini watumishi wa umma hutegemea mshahara tu ? Kwanini waoga wa kujiongeza ?

KaziNaBata#
Kwani hizo Pesa ni zako?
 
unazungumzia watumishi wa ngazi ipi ya mshahara isije kuwa unaongelea TGTS B1 hao huwa wengi wanamaliza mshahara kabla hata ya kuupokea na wengi ATM's cards zao zimeshikiliwa na watu
 
Sijui elimu yako, sijui upeo wako wa kufikiri, lkn nakujibu kama ifuatavyo watumishi wa umma wanategemea mishahara yao kwa sababu inawatosha. Ndio maana tunaendesha Harriers au Rav4, We endelea na ujinga wako eti vyuma vinakukaza mwanaume unakazwa? kati yangu ninayelipwa 4M per month na wewe mangi unayesubiri kamisheni ya tigopesa nani zaid? endelea kujifariji nabado
Za Mbeya
 
Back
Top Bottom