Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,419
- 5,669
Tafakari vizuri kazi ya kichwa sio kuandika andika hovyo.Hasira za bure tu.
Hata kama wangeambiwa kwamba kuna hatari bado wangebakia hapo hapo kwa kigezo kwamba wao ni wenyeji wa siku nyingi hapo na hukujawahi kutokea shida.
Kisarawe pale Msitu wa Kazimzumbwi tope lilimeguka na kufunga barabara ya Kisarawe-Dar Es Salaam
Cha msingi wananchi wawe macho na miinuko.
Hii ni Elinino haiitanii, ni vurugu mechi
Mambo ya rostam hayoAisee inawezekana mods wa saizi itakuwa ni wale wa pochi nene.
Hovyo kabisa.Mpaka hapa JF sio safe kabisa.
Povu la nini sasa. Kilimanjaro kwenyewe kuna dalili za mlipuko.Tafakari vizuri kazi ya kichwa sio kuandika andika hovyo.
Kukiwa na dalili ya volcano mlima kilimanjaro tusiwaambie kwa sababu hawatatoka?
Pumbavu kabisa.
Achana nae huyo mpumbavu wa CCMTafakari vizuri kazi ya kichwa sio kuandika andika hovyo.
Kukiwa na dalili ya volcano mlima kilimanjaro tusiwaambie kwa sababu hawatatoka?
Pumbavu kabisa.
Rombo watafiti si walisema ni jambo la kawaida hakutakuwa na madhara yoyote.Povu la nini sasa. Kilimanjaro kwenyewe kuna dalili za mlipuko.
Mwaka huu mwanzoni paligundulika majani kuungua maaneo ya Rombo.
Media zimeandika, ila kwa kuwa watu hawajali basi wanaendelea na shughuli as if hamna jambo.
Dah kumbe weka basi text mdau alisemaje? Kama ni kweli basi ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa wawajibikeUkimsikiliza huyu Jamaa unaona kabisa anakera na kutia hasira na Yuko comfortable kabisa kusimulia ujinga.
Yaani watu waligundua kabisa tena baada ya kupewa taarifa na wenyeji kwamba kuna hatari ya Maporomoko ya udongo Toka mwaka Jana ila wakakausha Hadi Maafa yametokea halafu ndio anasimulia.
Hii Nchi tutaendelea kupata hasara ya maisha, Mali nk kama tutaendelea kuchekeana Kwa uzembe wa namna hii.
Aisee washukuru Mimi sio Rais, saa hii mngekuwa nyuma ya nondo Kwa Mashtaka ya mauaji.
Pia soma> Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
@Mods,Kwa nini mumeondoa video niliyoambatanisha kutoka kwenye interview ya Mwandishi wa Clouds aliyeko site?
Na Mbaya zaidi mumewasiliana na watu wa clouds wamefuta hiyo video.
The moments naiweka hapa ilishakiwa na wachangiaji 180 wakilaumu Mamlaka(TFS) kwamba kumbe walijua ila Wakakausha.
Kwa staili hii,Je jf inaaminiwa kweli?
Ulidhani umejificha?!! ๐๐๐ฅUkimsikiliza huyu Jamaa unaona kabisa anakera na kutia hasira na Yuko comfortable kabisa kusimulia ujinga.
Yaani watu waligundua kabisa tena baada ya kupewa taarifa na wenyeji kwamba kuna hatari ya Maporomoko ya udongo Toka mwaka Jana ila wakakausha Hadi Maafa yametokea halafu ndio anasimulia.
Hii Nchi tutaendelea kupata hasara ya maisha, Mali nk kama tutaendelea kuchekeana Kwa uzembe wa namna hii.
Aisee washukuru Mimi sio Rais, saa hii mngekuwa nyuma ya nondo Kwa Mashtaka ya mauaji.
Pia soma> Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
@Mods,Kwa nini mumeondoa video niliyoambatanisha kutoka kwenye interview ya Mwandishi wa Clouds aliyeko site?
Na Mbaya zaidi mumewasiliana na watu wa clouds wamefuta hiyo video.
The moments naiweka hapa ilishakiwa na wachangiaji 180 wakilaumu Mamlaka(TFS) kwamba kumbe walijua ila Wakakausha.
Kwa staili hii,Je jf inaaminiwa kweli?
Hiyo sio volcano mkuu ila kwa tarifa za hiyo harufuKumbe Kuna volcano ya baridi siku hizi?
Tfs wameleta maporomoko au wao ndio watabiri ?Video niliweka kutoka Clouds ila naona mods wameifuta na kuwatonya clouds huku kwenye mahojiano Nako wameiondoa ๐คช๐คช
Aliyefanya mahojiano na mtumishi wa TFS Hanang ni huyu dada hapa ila video Ya mahojiano imefutwa
View: https://twitter.com/CloudsMediaLive/status/1731935156020093375?t=gPeNwzhMaPMQV3DbwFb_mw&s=19
Umesoma mada yangu?Tfs wameleta maporomoko au wao ndio watabiri ?