Watumiaji na wauza madawa ya kulevya wa mikoa mingine wanashughulikiwa na nani?

Econometrician

JF-Expert Member
Oct 25, 2013
16,855
31,162
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ana deal na wakazi wake wa Dar es Salaam mbona hatuoni jitihada hizi zikiendelea Mikoa mingine. Wakuu wa Mikoa wa mikoa mingine naona wapo kimya au katika mikoa yao hamna wauza na watumiaji wa madawa ya kulevya au wao wanatumia approach tofauti.
 
mtu anaweza kwenda Mahakamani akasema mimi siyo Mkazi wa Dar es salaam hapo kisheria sijui itakuwaje??
 
Wa mkoa wanafanya kazi kimya kimya.. Kwani hivi karibuni hukuona polisi wanang'oa Bangi? Au hata kule Kagera mwaka jana ambapo polisi walifyeka shamba la bangi?​
 
Ukiona jirani yako anakula mavi nawe utakula? sio kila kitu cha kuiga, by the way hakuna mkuu wa mkoa amewahi kutangaza kuruhusu madawa ya kulevya, wote wanapinga ila kwa njia tofauti si kama hiyo ya kutumia media.
 
Back
Top Bottom